Kamati ya Zitto yawabana walioingiza ndege mbovu
Na Elizabeth Mjatta,
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC), imeagizwa kufikishwa mahakamani kwa watumishi wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) waliohusika na mkataba wa ukodishaji ndege mbovu.
Akizungumza wakati wa kuhitimisha taarifa ya PAC kwenye kikao kilichopokea taarifa ya ATCL, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Zitto Kabwe, alisema ukodishwaji wa ndege kutoka Kampuni ya Wallis Trading Inc. ya China kulikofanywa na wataalamu wa Tanzania kuliisababishia serikali...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Nov
Kamati ya Zitto yapewa rungu
BUNGE limesema hakuna mgongano wowote baina ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) na ile ya Nishati na Madini katika kushughulikia mikataba ya wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Bunge laigeuka Kamati ya Zitto
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Kamati ya Zitto yataka ukaguzi IPTL
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Kamati ya Zitto yampa Gavana saa 48
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kamati ya Zitto yafufua ufisadi EPA
KAMATI ya Hesabu za Serikali (PAC), imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuifikishia taarifa ya kushindwa kufanya kazi kwa kampuni ya Lazard Freres iliyokuwa inachunguza ufisadi wa sh. bilioni 42.6...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Kamati ya Zitto yataka ATCL mpya kuundwa
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Kamati ya Zitto kuanza kazi wiki ijayo
10 years ago
Habarileo25 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua maofisa Wizara ya Kilimo
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imewafukuza kwenye kikao timu ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika iliyoongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo,Sophia Kaduma na kuipa wiki mbili kutekeleza maagizo kisha kuifuata kamati hiyo mjini Dodoma.