WIMBO MPYA: BEN KINYAIYA - RUPIA
![](http://api.ning.com/files/tvqd86maILqaorLoP3BDLhX4nLK9-zb2tLq1T4byGnM7ZWkIbBBokm0lLM0I*k1wAwDrl5M7ZcJWPGz1JQ5FlfImrXOQxq00/5.jpg?width=640)
Mtangazaji na msanii Ben Kinyaiya.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAFURIKO YAZINGIRA BAA YA BEN KINYAIYA KINONDONI-VIJANA DAR
Maji yakiwa ‘yameweka kambi’ katika Pub (baa) ya Ben Kinyaiya … Yakionekana kuingia katika baadhi ya nyumba zilizopo jirani na baa hiyo.…
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-udEzi3eAXYM/VLlakm5DfcI/AAAAAAADVnY/6zwlPDbdqFk/s72-c/48JwVIyK.jpeg)
9 years ago
Bongo530 Sep
Ben Pol ataja sababu 3 za kuachia wimbo mpya katika kipindi hiki cha uchaguzi
Wakati wasanii wengi wakiogopa kuachia nyimbo mpya katika kipindi hiki cha uchaguzi kwa kuhofia kutopata muda wa kusikilizwa, Ben Pol ameeleza sababu zilizomfanya kutohofia kufanya hivyo. Ben Pol aliyeachia wimbo ‘Ningefanyaje’ aliowashirikisha msanii wa Kenya, Avril na Rossie M ametaja sababu tatu za kuachia wimbo huo. “Moja sina wimbo official tangia mwaka umeanza,” amesema Ben. […]
9 years ago
Bongo519 Sep
Mambo matano kuhusu wimbo mpya wa Ben Pol ‘Ningefanyaje’ ft. Avril anaotarajia kuuachia wiki Ijayo
Ben Pol anatarajia kuachia wimbo mpya ambao kamshirikisha mwimbaji wa Kenya, Avril ambaye walikutana hivi karibuni alipoenda Nairobi kwenye Coke Studio Africa. Ben Pol amepiga story na Bongo5 na hivi ni vitu vitano vya kufahamu kuhusu wimbo huo uitwao ‘Ningefanyaje’ 1.‘Ningefanyaje’ inakuwa ni official single ya pili kwa mwaka huu (2015) kutoka kwa Ben Pol […]
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/xTp4eu-PWGY/default.jpg)
10 years ago
Bongo526 Sep
Audio: Ben Pol aurudia wimbo wa Sam Smith ‘Stay With Me’, Ni Shida!
Ben Pol amefanya kava ya wimbo wa msanii wa Uingereza, Sam Smith ‘Stay With Me’. Kwa uwezo wa sauti yake kwenye wimbo huu ni wazi kuwa Ben ni msanii bora wa rnb kuwahi kutokea Tanzania. Production imefanywa na Mswaki. Noma sana. Chini ni wimbo wa Sam Smith.
9 years ago
Bongo530 Sep
Video: Ben Pol, Avril na Rossie M wakiongelea wimbo wao ‘Ningefanyaje’
Ben Pol, Avril na Rossie M waliotoa wimbo wa pamoja hivi karibuni walitutembelea kwenye studio zetu kuzungumza kuhusiana na wimbo huo uitwao ‘Ningefanyaje.’ Tazama mahojiano hayo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo524 Nov
Navy Kenzo wazungumzia album mpya, ‘Niroge na wimbo mpya ‘Moyoni’
Kundi la Navy Kenzo linajiandaa kuachia wimbo wake mpya ‘Moyoni’ wiki hii huku pia likijiandaa kutoa album mpya, ‘Niroge’ mapema mwakani. Procuder Nahreel amesema maandalizi ya album mpya yako mbioni kufikia tamati. “Hii album itatoka January mwakani, maandalizi ni mazuri mpaka sasa hivi, nyimbo nane tayari, ambazo katika nyimbo nane hizo moja wapo tumemshirikisha Joh […]
10 years ago
Vijimambo30 Nov
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania