Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIZ: SEBA AKINIIGA TATOO, ITANIUMA!

Zilipendwa wa Mwanamitindo Amber Rose, Wiz Khalifa. New York, Marekani
ZILIPENDWA wa Mwanamitindo Amber Rose, Wiz Khalifa ameeleza kuwa anampenda sana mwanaye Sebastian ila ataumia sana kama ataiga tabia zake ikiwemo ya kujichora tatoo. Wiz Khalifa akiwa na mwanaye Sebastian. Akizungumza na Jarida la People hivi karibuni, Wiz alisema kuwa, kinachomfanya ampende ni uzuri wake na jinsi anavyoonekana kuja kuwa mtu wa aina flani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Everything Dr Seba sets his mind to, he achieves

He earned his fame from the famous Clouds FM radio programme Njia Panda (at cross roads) which is aired at 2.pm on Sundays.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aachishwa kazi kwa sababu ya 'Tatoo'

Niliulizwa kwa nini nilikuwa na michoro mingi au Tatoo kwa mwili wangu pamoja na kuhojiwa kwa nini nimejitoga sana usoni mwangu.

 

10 years ago

Bongo Movies

WOLPER: Aonyesha Tatoo Yake Mpya

Hatimaye muigizaji wa filamu, Jackline Wolper akiwa kwenye mavazi ya ki-TOM BOY, leo hii ameonyesha Tatoo yake mpya aliyopo sehemu ya juu  kwenye mkono wake wa kushoto.

Hivi majuzi mitandaoni kulikuwa na picha zilizomuonyesha mwanadada huyo akiwa anachorwa tatoo na jamaa wanaofahamika kama MALAIKA TATOO.

Katika moja ya picha hizo ilyomuonyesha Wolper ameketi kwenye kiti cha kibosi ya cha kuchorewa huku amevalia mavazi ya ki-tom boy meusi na bonge la NDULA, huku jamaa mchoraji akionekana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwa nini mtu achorwe Tatoo machoni?

Hii ndio kasumba ambayo imewavutia vijana wengi ulaya ingawa madaktari wanaonya kuweka wino ndani ya macho kunaweza kumfanya mtu kuwa kipofu

 

10 years ago

Bongo Movies

KIVAZI Cha LULU Chaonyesha Tatoo Yake Ya Juu Ya Kiuno

Muigizaji Diana Elizabeth Michael kama anavyojiita kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM, maarufu kwajian la  LULU ni moja kati wa mastaa wa Bongo movie wanaotumia kurasa zao kwenye mtandao wa INSTAGRAM ku-Share nasi picha zao, stori  na ujumbe mambali mabali yani kwa kifupi wanazitendea haki kurasa zao..Kwa hilo tunakupongeza.

Back to the Topic

Hivi majuzi mwanadada LULU aliweka picha matata (icheki hapo juu) ambayo iliwafanya Followers wake kwenye ukurasa  wake watoe comments na like za...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Uwoya aonyesha Tatoo yake ili watu waisome?

Vijimambo: Picha hii ya mrembo na mwigizaji  wa filamu anaezimikiwa na mashabiki wengi, Irene Uwoya imewaacha midomo wazi mashabiki wake huku wakiwa na alamaza kujiuliza vichwani mwao.

Irene aliibandika picha hii  mtandaoni bila kuandika kitu chochote kwahiyo ikawa kawa amewaachia fursa mashabiki wake watiririke.

Mbali na watu kusifia uzuri wake kwa ujumla, watu wengi walijikita kwenye tattoo yake ambayo amejichora juu ya kifua, karivu kabisa na shingo yake.

Wengi walijiongeza kuwa...

 

11 years ago

CloudsFM

NUHU MZIWANDA APONDWA MTANDAONI BAADA YA KUJICHORA TATOO YENYE JINA LA SHILOLE

STAA wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda amepondwa na mashabiki wake mtandaoni baada ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake ambaye pia ni msanii mwenziye Zuwena Mohamed’Shilole’ambapo wamemuhoji kama wakiachana atachoma tattoo hiyo kwa pasi?Msanii amepost picha hiyo ya tattoo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika…Coz nampenda mke wangu nimeamua kuchora jina lake! Ila imeuma kuliko tattoo iliyopita! Siju kwa nn??...Baadhi ya mashabiki walisema kuwa…. Duuh namuonea huruma sana huyu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani