Wizara yatumia mil.48/- kulipia ada wanachuo
WIZARA ya Nishati na Madini imetoa sh milioni 48.42 kwa ajili ya kuwalipia ada wanafunzi 40 kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi, wanasoma kwenye Chuo Kikuu cha Stella Maris. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
SEMA yatumia mil. 25/- kusaidia wakulima
SHIRIKA la Mpango Endelevu wa Uboreshaji Mazingira (SEMA), limetumia zaidi ya sh milioni 25 kununua vifaa vyenye ujumbe utakaowasaidia wakulima kubadilika ili kuendana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yamesemwa...
11 years ago
Habarileo31 May
Tanroads yatumia mil.800/- Mianzini
WAKALA wa Barabara (Tanroads) Mkoani Arusha imetumia Sh milioni 800 kwa ajili ya kukarabati miundombinu, ambayo imekuwa ikiharibiwa na wananchi katika eneo la taa za kuongozea magari la Mianzini na Sanawari.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Juakihuma yatumia mil. 60/- kuhifadhi mazao
JUMUIYA ya Wakulima wa Kilimo Hai wa Usambara Mashariki (Juakihuma) wilayani Muheza na Korogwe, Tanga imetumia zaidi ya sh milioni 60 kwa ujenzi wa ghala la kuhifadhia mazao ya wakulima...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0rWO7yU1a4ZIe5isu*lngn7dd6CGGe4L-VgknBKtdFGG0Go8rHAizifcC10UD6tcAxJ6cwQM6-4Rxuygj1C0z7M/kuambiana.jpg)
BONGO MOVIE YATUMIA MIL. 7 MSIBA WA KUAMBIANA
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Yanga yatumia Sh500 mil kwa nyota wanane
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
TBL yatumia mil. 80/- wiki ya nenda kwa usalama barabarani
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), imetumia sh milioni 80 kufanikisha shughuli mbalimbali wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani nchini. Hayo yalisemwa na Ofisa Uhusiano wa TBL,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OKHWjNyiBXk/XtpOyYaU4qI/AAAAAAALsug/qb5AmY5ZpKUwYA6rDsDNQ70u7D3b8N3ZwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0027.jpg)
MAMBA CEMENT YATUMIA MIL.500 KUTENGENEZA MATENKI 2,000 YA KUHIFADHIA MAJI ILI KUPAMBANA NA CORONA
KAMPUNI ya Mamba Cement chini ya Kampuni Mama ya MM Steel, imetumia kiasi cha sh.milioni 500 kutengeneza Matenki 2,000 ya kuhifadhia maji ikiwa ni mkakati wa kupambana na ugonjwa wa Corona.
Matenki hayo yaliyosambazwa nchi nzima kwa maana ya Tanzania Bara na upande wa Visiwani, Bara yamepatiwa matenki 1000 katika taasisi za Serikali, taasisi binafsi 500 wakati Tanzania Visiwani wakinufaika na matenki 500.
Hayo yalibainishwa na Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Halmashauri ya Manyoni yatumia zaidi ya Mil.99 kuwalipa mishahara Watendaji wa Vijiji wasiokuwa na vituo vya kazi
Afisa utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bi Pinina (wa kwanza kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya watumishi wa Halmashauri hiyo waliohudhuria kwenye uzinduzi wa mkutano wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi.
Diwani wa kata ya Mgandu, Bwana Martini Kapona (aliyevaa shada la maua) mara tu baada ya kula kiapo cha utii cha kuwatumikia wananchi wate waliomchagua na wasiomchagua.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bw.Supeet Roine Mseya (wa...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Akutwa amekufa choo cha kulipia
MFANYABIASHARA wa mboga mkazi wa Magomeni, Dar es Salaam, Jamhuri Ally (53) amekutwa amekufa ndani ya choo cha kulipia eneo la Kisutu, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.