YALIYOJIRI MAHAKAMA YA MWANZO KINONDONI LEO
Watuhumiwa wakishushwa kwenye gari la Jeshi la Magereza, tayari kwa kusomewa kesi zao mahakamani. Mmoja wa watuhumiwa akiwa amebebwa na watuhumiwa wenzake kuingizwa mahakamani, haikujulikana mara moja sababu za kubebwa huko kwani askari walikataza…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Nov
Mahakama ya Mwanzo yateketezwa
MAHAKAMA ya Mwanzo ya Riagoro wilayani Rorya mkoani Mara, imechomwa moto na watu wasiojulikana na mali na nyaraka mbalimbali zilizokuwao, zimeteketea.
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Mahakama za mwanzo marufuku
SERIKALI, imezipiga marufuku Mahakama za Mwanzo kuamua mashauri ya kesi za ardhi kwani jukumu hilo ni la Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya. Onyo hilo lilitolewa jana bungeni mjini hapa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gW6e4EtDHi4/Xm-SIO62pSI/AAAAAAAC8po/OHPOvkKapbQbp3OLA34j9m1A9kUFc3UtwCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
WABUNGE WAKAGUA MAHAKAMA YA MWANZO NGERENGERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-gW6e4EtDHi4/Xm-SIO62pSI/AAAAAAAC8po/OHPOvkKapbQbp3OLA34j9m1A9kUFc3UtwCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y688AxfWDI0/Xm-SJgiO4CI/AAAAAAAC8ps/152gI_KdsRwV6x2ta9kW3TJL8eSvkMwEgCLcBGAsYHQ/s640/FC4A6978.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-S6_d-GDxXr4/Xm-SN-0H_KI/AAAAAAAC8p0/IRlJ--B-9BUGg_JMXyf_x8VQqzMDRnaAwCLcBGAsYHQ/s640/FC4A6992.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Uchakavu wa mahakama za mwanzo wazua hofu
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9Ch_KQSELts/VjoGbPoeyFI/AAAAAAAIEHw/FKeJy1JHx9I/s72-c/images.jpg)
MALALAMIKO YA MAHAKAMA YA MWANZO KUTATULIWA KAMATI MAADILI—DC MAKONDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-9Ch_KQSELts/VjoGbPoeyFI/AAAAAAAIEHw/FKeJy1JHx9I/s1600/images.jpg)
Makonda ameyasema leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Makonda amesema kuwa watu wengine wanakosa haki katika mahakama na hawajui wanaweza kupata haki sehemu gani kutokana na mwenendo wa kesi ilivyoendeshwa.
Makonda amesema kamati hiyo inawajibu wa kuangalia mwenendo wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s72-c/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
MAHAKAMA ZA MWANZO GEITA ZASIKILIZA MASHAURI NDANI YA MIEZI MINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s640/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/440d9976-2ebb-4186-9483-ace52b1a7e59.jpg)
Jengo la Mahakama ya Wilaya ya Bukombe
********************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha – Bukombe
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bukombe, Mhe. Ainawe Moshi amesema kwamba Mahakama za Mwanzo katika Mkoa wa Geita zimejipanga kumaliza mashauri ndani ya kipindi cha miezi minne, licha ya utaratibu uliopangwa wa miezi sita.
...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE JOSHUA NASSARI AACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA YA MWANZO YA MAJI YA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s1600/images.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Apr
Mahakama yampa DC Kinondoni siku 7
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa siku saba kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda, kuwasilisha utetezi wake dhidi ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Dar es Salaam, John Guninita.
11 years ago
Habarileo17 Jun
Vimini, mgongo wazi marufuku Mahakama ya Kinondoni
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam imetoa amri ya kuzuai watu wenye mavazi yasiyo na staha kuingia makahamani hapo.