MALALAMIKO YA MAHAKAMA YA MWANZO KUTATULIWA KAMATI MAADILI—DC MAKONDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-9Ch_KQSELts/VjoGbPoeyFI/AAAAAAAIEHw/FKeJy1JHx9I/s72-c/images.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiMKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (Pichani) amesema wananchi ambao hawajaweza kupata haki zao katika mahakama za mwanzo wanaweza kutumia kamati ya maadili.
Makonda ameyasema leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Makonda amesema kuwa watu wengine wanakosa haki katika mahakama na hawajui wanaweza kupata haki sehemu gani kutokana na mwenendo wa kesi ilivyoendeshwa.
Makonda amesema kamati hiyo inawajibu wa kuangalia mwenendo wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboLUBUVA - MALALAMIKO YA VYAMA YATATULIWE NDANI YA KAMATI YA MAADILI NA SIO VYOMBO VYA HABARI
Na Chalila Kibuda.
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu ,Damian Lubuva amevitaka...
9 years ago
MichuziMALALAMIKO YA VYAMA YATATULIWE NDANI YA KAMATI YA MAADILI NA SIO VYOMBO VYA HABARI —LUBUVA
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu ,Damian...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xR-Xsq_7S78/VNyM52oRtwI/AAAAAAAAGYY/i54EPiPt_Dw/s72-c/IMG_4687.jpg)
TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YAENDESHA MAFUNZO YA SIKU MBILI KWA KAMATI ZA MAADILI ZA MIKOA YA RUKWA KATAVI
![](http://4.bp.blogspot.com/-xR-Xsq_7S78/VNyM52oRtwI/AAAAAAAAGYY/i54EPiPt_Dw/s1600/IMG_4687.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HRA7LsPu3X4/VNyM70jZBtI/AAAAAAAAGY0/eDc_6cXyhSM/s1600/IMG_4723.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0ZhRtOMQwI/VNszXxKH50I/AAAAAAAHDCc/fBnnjs8dQ7c/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAFUNZO YA KAMATI ZA MAADILI ZA MAHAKAMA ZA MIKOA YA DODOMA NA SINGIDA YAHITIMISHWA MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0ZhRtOMQwI/VNszXxKH50I/AAAAAAAHDCc/fBnnjs8dQ7c/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M0bwNHlWMgc/VNszXa7ryNI/AAAAAAAHDCY/jxmftBbK_HE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d4R2BXRkpk0/VNszYTp4OHI/AAAAAAAHDCo/-OOjIug5TUY/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
9 years ago
Michuzi17 Oct
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKvSG3Ilte4JmnLdlWueG0OReBv2ULhrS0hFku9s3SxJilAy*5nA65n-yuwpTIZ*5qgDiRZCK4PQqCey1Yl8JZK/KAMATIYAMAADILI.png)
UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Mahakama za mwanzo marufuku
SERIKALI, imezipiga marufuku Mahakama za Mwanzo kuamua mashauri ya kesi za ardhi kwani jukumu hilo ni la Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya. Onyo hilo lilitolewa jana bungeni mjini hapa na...
10 years ago
Habarileo10 Nov
Mahakama ya Mwanzo yateketezwa
MAHAKAMA ya Mwanzo ya Riagoro wilayani Rorya mkoani Mara, imechomwa moto na watu wasiojulikana na mali na nyaraka mbalimbali zilizokuwao, zimeteketea.