Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Azam zaua shabiki

Shabiki wa soka aliyekuwa jukwaa walilokuwa wamekaa mashabiki Yanga alianguka ghafla na kufariki dunia kabla ya kupelekwa hospitali wakati alipokuwa akishuhudia pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Azam lililochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zaua vipaji

Mbali ya kutamba na kuitwa klabu kongwe nchini, imebainika kuwa klabu hizo zina rekodi mbaya ya kuua vipaji vya wachezaji nyota wanaohamia kwenye klabu hizo wakitokea klabu nyingine za Ligi Kuu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kutana na shabiki sugu wa Yanga

Bwana Steven Samuel aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na mapenzi yake kwa timu ya Tanzania hasa inapofungwa.

 

11 years ago

GPL

SHABIKI AFARIKI AKISHANGILIA BAO LA YANGA TAIFA

SHABIKI wa Timu ya Yanga SC, Deodatus Isaya Lusinde, mkazi wa Kipunguni A, amefariki dunia leo baada ya kuanguka ghafla wakati akishangilia bao la Yanga lililofungwa na Didier Kavumbagu katika dakika ya 14 kipindi cha kwanza. Marehemu amepoteza maisha akiwa chumba cha matibabu mara baada ya kuwekewa mashine ya oksijeni na taarifa kuhusu kifo cha shabiki huyo zimethibitishwa na mmoja wa madaktari aliyemhudumia akiwa uwanjani ...

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam TV waelewana

Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga wamemaliza tofauti zake na kituo cha runinga cha Azam na sasa iko tayari kupokea fedha za udhamini kwa haki za matangazo kutoka kwa wadhamini hao.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam patachimbika

YANGA na Azam zinakutana leo kwenye mechi ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Kagame katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

9 years ago

TheCitizen

Yanga down Azam on penalties

The National Stadium turned into a sea of green and yellow when Mainland champions Young Africans beat Azam FC 8-7 on post-match penalties in the Community Shield match yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani