Kutana na shabiki sugu wa Yanga
Bwana Steven Samuel aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na mapenzi yake kwa timu ya Tanzania hasa inapofungwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Yanga, Azam zaua shabiki
Shabiki wa soka aliyekuwa jukwaa walilokuwa wamekaa mashabiki Yanga alianguka ghafla na kufariki dunia kabla ya kupelekwa hospitali wakati alipokuwa akishuhudia pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Azam lililochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CcVG7ou8sBXa1WNhF0jHh-1Az4wRdW9Fi5xLXSsYpNgtc3R6TgxbZdyhgB4bVWZjgo4SWfgAIg6nD5MBTeSBB0ckguJ79zKs/BREAKINGNEWS.gif)
SHABIKI AFARIKI AKISHANGILIA BAO LA YANGA TAIFA
SHABIKI wa Timu ya Yanga SC, Deodatus Isaya Lusinde, mkazi wa Kipunguni A, amefariki dunia leo baada ya kuanguka ghafla wakati akishangilia bao la Yanga lililofungwa na Didier Kavumbagu katika dakika ya 14 kipindi cha kwanza. Marehemu amepoteza maisha akiwa chumba cha matibabu mara baada ya kuwekewa mashine ya oksijeni na taarifa kuhusu kifo cha shabiki huyo zimethibitishwa na mmoja wa madaktari aliyemhudumia akiwa uwanjani ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s72-c/Faiza%2BAlly.jpg)
ALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s640/Faiza%2BAlly.jpg)
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”
![](http://4.bp.blogspot.com/-C13XujLAcN0/VJsfJQE-s5I/AAAAAAAAEkE/MCRdlC88XGs/s640/Faiza%2BAlly2.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Polisi yamshikilia shabiki mmoja
>Shabiki mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi akidaiwa kukutwa na tiketi bandia kwenye mechi ya Ligi Kuu ya kati ya Yanga na Mbeya City iliyochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Shabiki wangu usijinyonge, nitajirekebisha
Kuna hayawani mmoja alikwenda kuharibu ukweni bila kuelewa. Kakutana na Baba mkwe, akaanza kumsifia mshenga wake kwa jinsi alivyofanikisha ndoa yake. Alianzia pale alivyompa mshenga rupia za kumlainisha mtoto wa watu, kisha rupia za kuondolea udhia kwa wakwe.
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya
Shabiki wa klabu ya soka ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa Arsenal na kufariki dunia baada ya mechi ya Jumamosi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3JwaH2xufXqQe4gTGuy3MT-OnAssGeflMQCar2T24EnxJyx3V98kV*cqWRD5oWxtAnjIzrLHECCYVErQ28JbvOe/d.jpg)
SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA
Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania. Shabiki wa Newcastle John Kearsley aliyeuawa na Pundamilia. John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen...
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Shabiki wa Brazil auawa Kenya
Mashabiki wawili wa kandanda waliuawa Magharibi mwa Kenya kufuatia matokeo ya mechi ya Brazil na Colombia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania