Polisi yamshikilia shabiki mmoja
>Shabiki mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi akidaiwa kukutwa na tiketi bandia kwenye mechi ya Ligi Kuu ya kati ya Yanga na Mbeya City iliyochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 May
Tanzania yamshikilia muasi wa ADF
5 years ago
CCM BlogTAKUKURU YAMSHIKILIA MENEJA WA BANDARI HANDENI KWA MADAI YA KUOMBA HONGO YA SH. 900,000
9 years ago
StarTV06 Jan
Polisi Singida yamshikia kijana mmoja anayetuhumiwaa kuwa jambazi sugu:
Polisi mkoani Singida imefanikiwa kumkamata kijana mmoja aliyekuwa anatafutwa muda mrefu kwa tuhuma za ujambazi sugu, baada ya kumjeruhi kwa mpiga risasi wakati akijaribu kutoroka.
Mtuhumiwa huyo Idi Issa mwenye miaka 33 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida amekamatwa usiku wa kuamkia jana katika baa ya Leaders akihusishwa na matukio mbalimbali ya ujambazi wa silaha, moja likiwa ni kuvunja nyumba na kuwaibia raia wa China fedha taslimu shilingi milioni 17.4
Katika kikao na waandishi wa habari...
11 years ago
Michuzi17 Jun
10 years ago
MichuziMWILI WA MMOJA WA ASKARI WALIOUAWA NA MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI WAAGWA
11 years ago
Michuzi17 May
MTU MMOJA ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA KUSABABISHA AJALI NA KIFO
9 years ago
StarTV18 Dec
Polisi wilayani Bunda yamtia mbaroni mwanamke mmoja kwa vitendo vya ukatili
Polisi wilayani Bunda mkoani Mara inamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma ya kumchoma moto mtoto wa kaka yake sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri kwa madai ya kuiba mboga chunguni.
Mwanamke anayeshiliwa na Polisi ametambuliwa kwa jina la Jenipher Mtaki mwenye miaka 22 mkazi wa Migungani wilayani Bunda.
Tukio hilo ambalo limetokea desemba 15 mwaka huu, majira ya saa za usiku katika eneo la Migungani mjini Bunda, liligunduliwa na wasamalia wema waliotoa taarifa kwa Rebeca Kibore...
10 years ago
Vijimambo25 Feb
HABARI KWA KINA KUHUSIANA NA VURUGU YA WANANCHI BAADA YA POLISI KUUA MTU MMOJA
Wananchi wakiangalia moto uliowashwa na watu wasiojulikana wakati wa vurugu baina ya polisi na wananchi katika mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa jana. Picha ya Mtandao HUKO ILULA MKOANI IRINGA
Kilolo. Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa wananchi waliokuwa na hasira walichoma moto magari yaliyokuwa yameegeshwa...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
SHAMBULIZI LA PARIS: Polisi wasema kuna mshambuliaji mmoja wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani!
Wanahabarina mashabiki wa soka wakiwa wamejikusanya ndani ya uwanja huo wa mpira ambao nje kulitokea mlipuko huo wa mabomu uliouwa watu zaidi ya 120 usiku wa Novemba 13.2015 katika jiji la Paris.
Na Rabi Hume na mashirika ya habari
Polisi waliokuwa wakikagua mashabiki wa mpira waliokuwa wakiingia uwanjani katika mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani wameuambia mtandao wa Wall Street Journal kuwa kuna mshambuliaji wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani.
Polisi wamesema kuwa...