Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga na Azam zashidnwa kutambiana

Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Afrika mwakani, Azam na Yanga zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

EFM 93.7 NA TABATA VETERANI WASHINDWA KUTAMBIANA

Dakika 90 za mtanange wa mpira wa miguu kati ya kikosi kamili cha Timu ya EFM 93.7 dhidi ya Tabata Veterani zilimalizika kwa sare ya bila kufungana, katika mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa shule ya msingi Tabata jijini Dar es salaam. Burudani hii ya mpira ilishuhudiwa na mamia ya wakazi wa Tabata waliovutiwa kuona wafanyakazi wa Efm wakiwemo Rdj’s na watangazaji wakisakata kabumbu.Kikosi cha kazi cha EFM 93.7 chini ya kiongozi na nahodha wake Ssebo (wa pili kushoto waliosimama) kikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Redd’s Miss Iringa waanza kutambiana

WASHIRIKI wanaowania taji la Redd’s Miss Iringa 2014 wameanza kutambiana kila mmoja akidai ndiye ataibuka kidedea katika ukumbi wa St. Dominic mjini hapa, Juni 20. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na...

 

9 years ago

Michuzi

MTIBWA SUGAR, JKT RUVU ZASHINDWA KUTAMBIANA

Mshambuliaji wa JKT Ruvu, Gaudence Mwaikimba akimtoka beki wa Mtibwa Sugar, Adrew Vicent katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka suluhu. (Picha na Francis Dande) Mchezaji wa JKT Ruvu, Abdulrahaman Mussa (kulia) akitafuta mbinu za kumtoka Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Mohamed Ibrahim katika mchezowa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Karume. Timu hizo zilitoka suluhu.  Mchezaji wa JKT Ruvu,...

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Azam ni kifo

YANGA leo inaikaribisha Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaoamua nani akalie kiti cha uongozi wa ligi hiyo inayoshirikisha jumla ya timu 16.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam zapaniana

MABINGWA wa Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC wamejichimbia kwa ajili ya mechi ya Ngao ya Jamii itakayofanyika Agosti 22 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam stand in Yanga’s way

All roads will lead to the 60,000-seater National Stadium today as Young Africans take on red-hot Azam FC in a quarterfinal match of the 2015 Cecafa Kagame Cup. Yanga, the five-time Cecafa Kagame Cup champions, are keen on matching Simba SC’s record Kagame Cup titles while Azam are on a mission to win their first regional trophy.

 

11 years ago

TheCitizen

Azam FC out to topple Yanga

>Ambitious Azam FC will be looking to reclaim the top spot when they go head-to-head with rejuvenated Ashanti United at the Azam Complex this afternoon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani