YANGA WAHAHA OKWI ACHEZE KESHO
Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge ZIKIWA zimesalia saa kadhaa kabla ya kipute cha hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Komorozine ya Comoro, kitakachopigwa kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, uongozi wa Yanga umekuwa kwenye kasi kubwa kuhakikisha kiungo mshambuliaji wao, Emmanuel Okwi anacheza. Awali, Yanga ilitangaza kuwa itamtumia Okwi katika mechi hiyo licha ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMADEGA: NILIMPITISHA OKWI ACHEZE SIMBA
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Mar
Okwi aituliza Yanga
NA VICTOR MKUMBO BAO pekee lililofungwa dakika ya 51 na Emmanuel Okwi, limeiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0, katika mchezo wa Ligi Kuu ulioikutanisha timu hiyo na Yanga. Okwi alipachika bao hilo kwa shuti kali la mbali baada ya kumchungulia Bartez aliyetoka nje ya lango na mpira huo kujaa moja kwa moja wavuni. Ushindi huo unaipa jeuri Simba ya kuendelea kuwatambia mahasimu wao ambao wamekuwa wakiibeza Simba baada ya kufanya vibaya katika baadhi ya michezo yake ya ligi. Katika...
11 years ago
GPLOkwi ayeyuka Yanga SC
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Yanga kumshtaki Okwi
11 years ago
GPLOKWI ATUA YANGA SC
11 years ago
GPLOkwi asaini Yanga SC
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Okwi akacha kambi Yanga
11 years ago
GPLFIFA: OKWI RUKSA YANGA