Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga ‘wahamia’ Ligi Kuu

KOCHA wa Yanga Hans van Pluijm amesema mchezo na Azam ulikuwa mgumu, wenye ushindani wa hali ya juu na ulistahili kuwa mchezo wa fainali ya Kagame.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaongoza ligi kuu Tanzania

Timu ya Yanga imepanda kileleni mwa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania baada ya kuilaza Prisons 3-0 Alhamisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga

Makocha wa klabu mbalimbali za Ligi Kuu nchini wameichambua mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kesho na kueleza kuwa Yanga ‘itabebwa’ na uzoefu huku Simba ikitakiwa kucheza kitimu zaidi ili ishinde mchezo huo.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Yanga, Azam mshikemshike

>Waswahili husema, hakuna kulala hadi kieleweke. Hivyo ndivyo unavyoweza kuzungumzia mbio za kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu ambazo dhahiri zimekuwa za Yanga na Azam.

 

10 years ago

GPL

YANGA SC WALIVYOKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU BARA

Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014 - 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam jana. Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akimkabidhi cheti cha salamu za pongezi za ubingwa kutoka Fifa, Mwenyekiti wa timu hiyo… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Tanzania Bara ni Yanga&Coastal

Yanga waonya wachezaji wake kutoamini “ndumba” ama uchawi katika kushinda mechi na badala yake wajitume uwanjani.

 

11 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Yanga yaanza kugawa dozi

>Yanga imeanza kazi ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Tanzania Prisons iliyokuwa pungufu mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

LIGI KUU: Tambwe aipaisha Yanga, Simba yashikwa

Baada ya ukame wa mabao katika michezo miwili mfululizo, mshambuliaji Amissi Tambwe jana alifunga mabao matatu ‘hat trick’ ya kwanza msimu huu na kuisaidia Yanga kupata ushindi  mnono wa mabao 4-0 na kuendelea kuongoza ligi kwa kufikisha pointi 30.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Simba, Azam zatofautiana na Yanga ratiba ligi Kuu

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutangaza ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Uongozi wa Mabingwa wa ligi hiyo, Yanga umeibuka na kuipinga kwa madai kuwa haikuwatendea haki.

Ligi hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 12 kwa michezo saba ya ufunguzi kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.

Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tibohora, alisema kuwa wao hawajaridhika na upangaji wa ratiba hiyo, na inaonyesha wazi nia yao ni kutaka wafanye vibaya msimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani