Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yatisha,Simba Leo

Mabingwa watetezi, Yanga wameichapa Rhino Rangers mabao 3-0 katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyochezwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

9 years ago

Habarileo

Simba, Yanga ni kifo leo

ILIKUWA miezi, mwezi, wiki, siku na sasa ni saa kabla ya vigogo vya soka Tanzania Bara vya Simba na Yanga kuchuana katika moja ya mechi za Ligi Kuu kwenye mchezo utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Simba leo tena

MIAMBA ya soka nchini Simba na Yanga leo itakuwa kwenye viwanja tofauti katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga kumbakumba, Simba, Azam leo

Yanga imevunja mwiko wa kutoifunga JKT kwenye Uwanja wa Mkwakwani baada ya kuichapa kwa mabao 2-0 jana na kukalia usukani wa ligi.

 

10 years ago

GPL

VIKOSI VYA LEO SIMBA VS YANGA

Wachezaji wa timu ya Yanga SC. Kikosi cha timu ya Simba SC. KIKOSI CHA YANGA SC 1. Deo Munish "Dida" - 30
2. Juma Abdul - 12
3. Oscar Joshua - 3
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Mbuyu Twite - 6
7. Hassan Dilunga - 26
8. Haruna Niyonzima - 8
9. Geilson Santana "Jaja" - 9
10. Mrisho Ngasa - 17
11. Andrey Coutinho - 7
Subs:
1.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kuibeba Simba leo?

Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Mholanzi Hans van Pluijm amesema hatakubali kuona timu yake ikikabidhiwa kombe kwa kufungwa au kutoka sare na Azam leo katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayoanza saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

SIMBA ILIVYOICHAKAZA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA

Emmanuel Okwi wa Simba (kulia) akikwatuliwa na beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' katika mechi baina ya timu hizo leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Okwi. Abdi Banda wa Simba (kulia) akiondoka na mpira huku akikabwa na kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga.…

 

11 years ago

GPL

KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO NA SIMBA SC

1. Deo Munish “Dida” – 30 2. Mbuyu Twite – 6 3. Oscar Joshua – 4 4. Nadir Haroub “Cannavaro” – 23 5. Kelvin Yondani – 5 6. Frank Domayo – 18 7. Saimon Msuva – 27 8. Hassan Dilunga – 26 9. Didier Kavumbagu – 7 10. Mrisho Ngasa – 17 11. Hamis Kizza – 20 Subs: 1. Barthez, 2.Job, 3. Zahir, 4.Telela, 5.Nizar, 6....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani