Yanga yatisha,Simba Leo
Mabingwa watetezi, Yanga wameichapa Rhino Rangers mabao 3-0 katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyochezwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
9 years ago
Habarileo26 Sep
Simba, Yanga ni kifo leo
ILIKUWA miezi, mwezi, wiki, siku na sasa ni saa kabla ya vigogo vya soka Tanzania Bara vya Simba na Yanga kuchuana katika moja ya mechi za Ligi Kuu kwenye mchezo utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo28 Oct
Yanga, Simba leo tena
MIAMBA ya soka nchini Simba na Yanga leo itakuwa kwenye viwanja tofauti katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Yanga kumbakumba, Simba, Azam leo
10 years ago
GPLVIKOSI VYA LEO SIMBA VS YANGA
10 years ago
Mwananchi06 May
Yanga, Azam kuibeba Simba leo?
10 years ago
GPLSIMBA ILIVYOICHAKAZA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://desyernest.com/shaffihdauda/wp-content/uploads/2014/04/MMG29776-610x400.jpg?width=610)
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO NA SIMBA SC
11 years ago
GPL