Yanga yatuliza kichwa mbele ya Mgambo
Dar es Salaam. Yanga inaikabili Mgambo Shooting leo kwenye Uwanja wa Mkwakani Tanga, huku ikihitaji ushindi ili izidi kuikimbia Azam FC inayofukuzana nayo kileleni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MTANANGE WA YANGA NA MGAMBO JKT YANGA YASHINDA 2-0 TAIFA



9 years ago
Habarileo07 Dec
Yanga, Mgambo vitani
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga leo wanaingia kambini Bagamoyo kujiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mgambo Shooting ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Yanga waivamia Mgambo Tanga
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
ZIKIWA zimebakia siku sita kabla ya timu ya Yanga kukipiga na Mgambo JKT ya mkoani Tanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, mmoja wa vigogo wa timu hiyo ametua jijini humo wikiendi iliyopita tayari kabisa kuweka mazingira sawa ya kuibuka na ushindi.
Yanga inakabiliwa na mchezo huo mgumu utakaofanyika Uwanja wa Mkwakwani kwenye mwendelezo wa ligi hiyo, iliyosimama takribani mwezi mmoja na nusu kupisha michuano ya Kombe la Chalenji na mechi za mbili za timu ya...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Mgambo waipania Yanga Tanga
KOCHA Bakari Shime wa Mgambo JKT, amesema amekiandaa kikosi chake kuweka rekodi msimu huu kwa kuwa timu ya kwanza kuwafunga mabingwa watetezi Yanga katika pambano la Ligi Kuu litakalopigwa Mkwakwani Desemba 12.
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Yanga sc kamili yaifuata Mgambo Tanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha timu ya Yanga kinatarajiwa kuelekea jijini Tanga leo, tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mgambo Shooting uliopangwa kufanyika Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani mkoani humo.
Kwa mujibu wa kocha mkuu wa Yanga, Hans Van der Pluijm, ataondoka na wachezaji wote wa timu hiyo na anatarajia kupanga kikosi kitakachoshuka dimbani kesho jioni.
Pluijm alisema kuwa awali walikuwa na mpango wakuweka kambi mjini Bagamoyo, lakini kutokana na sababu...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Neto wa Mgambo aiombea mabaya Yanga
10 years ago
MichuziYanga ilipoitungua Mgambo Shooting bao 2-0
Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mgambo.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Azam kuitoa Yanga,pia itacheza na Mgambo