Yanga ‘yawajadili’ mamluki wa Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Yanga ulikuwa na kikao kizito na wenyeviti wa matawi ya klabu hiyo, moja ya hoja iliyojadiliwa ni baadhi ya wachezaji wao kudaiwa kuwa ni mamluki wa watani zao Simba.
Kikao hicho kimefanyika siku chache mara baada ya Yanga kufungwa bao 1-0 dhidi ya mtani wake, Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, huku baadhi ya wachezaji wakihusishwa kuihujumu timu yao na kupelekea kila mara kushindwa kuwafunga wekundu hao.
Baadhi ya wachezaji...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s72-c/MMGL0169.jpg)
AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s1600/MMGL0169.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcG7nGUTfKs/VPx_b-JPmrI/AAAAAAADbqQ/vw34R5bUalk/s1600/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iOw-SP5Bt_Q/VPx_b4Yq6JI/AAAAAAADbqM/eqP8Gz6fDkk/s1600/MMGL0229.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
11 years ago
Mwananchi25 Jun
KAMPENI SIMBA: Wagombea Simba waijadili Yanga
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
10 years ago
StarTV05 Dec
CCM kuwachukulia hatu Mamluki.
Na Oliver Motto, Iringa.
Siku kadhaa baada ya kampeni za uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa kuanza rasmi, Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimedai kugundua mbinu chafu – zinazofanywa na baadhi ya wanachama wake mamluki.
CCM kinasema katika hilo hakitavumilia kwani kitahakikisha kinawatimua viongozi na wanachama wote watakaobainika kutumiwa na vyama vingine kukiangusha chama hicho katika uchaguzi huo wa serikali za mitaa.
Hassani Mtenga katibu wa CCM Mkoa wa Iringa...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
CHADEMA Pwani wawaruka ‘mamluki’
WAJUMBE wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Pwani, wamelikana kundi la watu waliojitokeza hivi karibuni wakijiita viongozi wa chama hicho na kufanya mikutano yenye...