Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YOTE HAYA YANAPATIKANA NDANI YA RISASI JUMATANO KESHO

-Wafanya kufuru; Ray Kigosi na Steve Nyerere wamfanyia kufuru mwanamuziki Christian Bella. Je, wajua ni kufuru gani hiyo? -Hii kali ya mwaka; OFM yanasa wagonjwa wakiosha vyombo kwenye masinki ya vyoo, ni wapi huko? ilikuwaje? -Jeuri ya fedha; Nelly Kamwelu anunua Lipstick kwa Mil. 6, unataka kuiona? KUJUA UNDANI WA HAYO YOTE NA MENGINE MENGI, USIKOSE KUSOMA GAZETI LAKO LA RISASI JUMATANO KESHO. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

YOTE HAYA UTAYAPATA KWENYE GAZET LA RISASI, JUMATANO HII

Jide jeuri kwisha! >Unataka kujua nini kimemtokea Jide? Diamond aibu tupu! > Picha za CCTV nyumbani kwake zamuumbua > Fundi ajionea sinema ya bure > Amwaga ubuyu Wema, Mwana FA kuukwaa ubunge? Sajent, Nisha Wagombea Bwana! >Unataka kumjua bwana mwenyewe? wapi tukio hilo lilitokea? ilikuwaje? Wachungaji, Mashehe Wakutana Kanisani! >Ni Kwa Ajili Ya Kuwarudisha Wabwia Unga Kwa Mungu Yote haya na mengine usikose kusoma Gazeti...

 

10 years ago

Vijimambo

KESHO JUMATANO NDANI YA SFARI -THANKS GIVING DINNER FOR $10 FROM 5 -11 PM THEN PARTY TILL 2AM

**WE SAY THANKS FOR SUPPORTING US **
ORDER CHAKULA CHOCHOTE KWENYE MENU KWA $10 TU ALAFU PARTY HADI SAA NANE USIKU
************************************************************************************

 

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA RISASI JUMATANO

Kisa kumchafulia jina mjini... Gwajima, Flora kumlipa mamilioni Mbasha! -Mwanasheria afunguka, aeleza mlolongo mzima -Ishu imewakalia vibaya JB alishwa sumu! -Unataka kufahamu tukio hilo lilivyomkuta JB? -Nini kimeendelea? Licha ya Kudai Hajazaa... Sajent Aumbuka -Anaswa live na mtoto -Abanwa, abaki kaduwaa -Mzazi mwenziye aingia mitini. Kupata undani wa haya na mengine mengi, usikose kusoma Gazeti la Risasi Jumatano. ...

 

9 years ago

GPL

YOTE HAYA UTAYAPATA KWENYE GAZETIU LA UWAZI

Mgonjwa aliyetoa siri Muhimbili kwa Magufuli, yamkuta -Ni yule aliyeibua ubovu wa CT-Scan -Avamiwa anakoishi -Ahofia maisha -Azungumza na UWAZI mwanzo hadi mwisho. -Unataka kufahamu akina nani wamemvamia na nini kimemkuta baada ya kuvamiwa? Wanaswa wakijiandaa kulipua hoteli -Unajua ni akina nani, wapi na ilikuwaje? Magufuli 'kiboko'! -Awahenyesha Makjatibu Wakuu wa Wizara -Unataka kujua nini amekifanya Rais Magufuli? -Ni Wizara...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani?

. Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha “kiulinzi” kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu. Serikali imeweka majesho yote kwenye Red alert, polisi wamekabidhiwa magari […]

The post Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

WEMA, AUNT, YOTE HAYA ILI IWEJE SASA?

MIMI ni Mmatengo, kabila moja kubwa katika mkoa wa Ruvuma, lakini lisilo maarufu, tunapatikana katika wilaya kubwa pia, inaitwa Mbinga. Idadi kubwa ya wamatengo ni wakristo, tena wa madhehebu ya Roman Catholic.
Katika moja ya vitu ambavyo wanakijiji wenzangu wanaviheshimu sana, ni makaburi. Wenyewe wanaita Shamba la Bwana. Ili kuonyesha heshima hiyo, makaburi yamepewa ‘ofa’ ya kujengwa mbali kabisa na makazi ya...

 

9 years ago

GPL

YOTE HAYA UTAYAPATA KATIKA GAZETI LAKO LA IJUMAA WIKIENDA

WASTARA AKATWA MGUU! -Mamilioni ya fedha yatumika, mwenyewe aeleza maumivu makali aliyopitia kwa saa 24 -Unataka kujua jinsi alivyokatwa mguu huo na ni kwa nini? CHANZO CHA LULU KUTODUMU NA MWANAUME CHATAJWA! -Unajua chanzo hicho ni nini? -Licha ya kuwa na mvuto, kwa nini hadumu na mwanaume? MGONI AMUUA MWENYE MKE! -Amvizia shambani, ampiga na jembe kichwani naye ala kichapo -Unajua chanzo cha kisa hicho? KAJALA APATA...

 

11 years ago

GPL

YEMI ALADE KUTUA NCHINI KESHO JUMATANO

MKALI wa ngoma ya Johnny, Yemi Alade, hataweza kutua Bongo leo kama ilivyotarajiwa na badala yake ataingia nchini kesho Jumatano, Agosti 6, 2014 saa tano usiku tayari kwa kukinukisha kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini ambalo limebakiza siku chache kabla ya kutimua vumbi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Agosti 8, 2014. Akiongea na mtandao huu, mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto alisema Alade anatarajiwa kutua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani