Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Young Shepolopolo yawasili Tanzania

Young Shepolopolo ya Zambia itakwaana na Tanzanite ya Tanzania kugombea kufuzu kucheza kombe la Dunia chini ya miaka 20.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TIMU YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAWASILI SALAMA MKOANI MWANZA, ZOEZI KUANZA JUMAMOSI

Mabasi yaliyokuwa yamebeba timu nzima ya Proin Promotions Limited yakiwa yamewasili Mkoani Mwanza Usiku huu. Baadhi ya Timu ya Wafanyakazi Kutoka Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waendeshaji na wasimamiaji wa Mashindano ya Kusaka Vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents wakiwa wanashuka katika Moja ya Basi lililokuwa limebeba wafanyakazi na timu nzima ya Proin Promotions Limited mara baada ya kuwasili mkoani Mwanza Usiku huu. Timu nzima ya Proin...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kusuka au kunyoa Twiga au Shepolopolo?

Ni kusuka au kunyoa ambapo kitendawili cha timu gani itafuzu kucheza fainali za michezo ya Afrika kwa upande wa soka la wanawake .

 

11 years ago

Michuzi

Twiga stars baada ya mpambano na shepolopolo

 Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace MUJUMA (kati, gauni la njano)  na maafisa wake walipokutana na viongozi wa timu ya twiga stars na wachezaji wa timu hiyo kwa chakula cha jioni nyumbani kwa Balozi baada ya mpambano mkali na mgumu uliofanyikana kwenye Uwanja wa Nkoloma jijini Lusaka Zambia. Twiga stars ilifungwa bao 2-1.  Kocha wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage alisema amebaini upungufu katika kikosi chake ambao ataufanyia kazi kabla ya mechi ya marudiano ili timu yake iweze...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shepolopolo kutua Dar kuikabili Twiga

Timu ya soka ya wanawake ya Zambia inatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Jumatano kwa mechi yake ya marudiano na Twiga Stars.

 

11 years ago

GPL

TWIGA STARS IMEWIVA, SHEPOLOPOLO YATUA

Kikosi cha Twiga Stars. Wakati Zambia (Shepolopolo) imewasili leo mchana (Februari 27 mwaka huu), Twiga Stars imesema mazoezi yamewaingia barabara tayari kwa mechi dhidi ya Wazambia hao itakayochezwa kesho (Februari 28 mwaka huu). Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) itafanyika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi kuanzia saa 10 kamili jioni, na hakutakuwa na kiingilio....

 

10 years ago

TheCitizen

Shepolopolo arrive to face Twiga Stars in decisive tie

Zambia’s Shepolopolo jetted into the country yesterday ready for the second leg of the All Africa Games (AAG) against Twiga Stars tomorrow.

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani