Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar yapata sarafu maalumu ya mapinduzi

>Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein jana amepokea rasmi Sarafu ya Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar huko katika Viwanja vya Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar-SUZA Kampasi ya Beit el Ras.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Ofisi ya Msajili yapata vifaa maalumu

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kupokea msaada wa vifaa maalumu vya kieletroniki kutoka Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP). Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa shirika hilo, Philippe Poinsot. Picha na Deus Mhagale.

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kupokea msaada wa vifaa maalumu vya kieletroniki kutoka Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP). Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa shirika hilo, Philippe Poinsot. Picha na Deus Mhagale.

GRACE SHITUNDU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

SHIRIKA la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), limekabidhi Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, vifaa maalumu vya kuhifadhi kumbukumbu...

 

11 years ago

Michuzi

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja

 Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja ukiwa katika hatua za mwisho katika matengenezo,ambapo Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, aliahidiwa kumalizika hivi karibuni wakati alipofanya ziara leo ya kuona maendeleo ya ujenzi huo.    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,atembelea maendeleo ya Ujenzi wa Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar unaojengwa katika viwanja wa Kisonge Michenzani...

 

10 years ago

Vijimambo

ZANZIBAR YAPATA MAFURIKO

 Maeneo ya Mpendae na baadhi ya maeneo Zanzibar nyumba zikiwa zimefurika maji kutokana na mvua kubwa zilizonyesha leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi

Zanzibar yaadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, yalioung'owa utawala wa Sultani.

 

11 years ago

Habarileo

Mafanikio ya Mapinduzi Zanzibar

MAPINDUZI ya Zanzibar jana yalitimiza miaka 50, huku Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, akielezea mafanikio ya kupigiwa mfano, yaliyotokana na uongozi wa kizalendo katika muda huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Baada ya mapinduzi Zanzibar

Miaka 50 baada ya Mapinduzi ya Zanzibar vipi maisha raia wa visiwa hivyo?

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 51 Mapinduzi ya Zanzibar

Chini ya uongozi wa Karume, Zanzibar inatajwa kama nchi iliyokuwa ikipiga hatua nzuri hasa katika maendeleo ya uchumi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani