Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZANZIBAR YAPATA MAFURIKO

 Maeneo ya Mpendae na baadhi ya maeneo Zanzibar nyumba zikiwa zimefurika maji kutokana na mvua kubwa zilizonyesha leo

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Zanzibar yapata sarafu maalumu ya mapinduzi

>Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein jana amepokea rasmi Sarafu ya Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar huko katika Viwanja vya Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar-SUZA Kampasi ya Beit el Ras.

 

11 years ago

Habarileo

MV Kilimanjaro yapata ajali Zanzibar, sita wafariki

 Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omar MakameWATU sita wamefariki dunia na wengine watatu kuokolewa katika boti ya abiria ya MV Kilimanjaro iliyokumbwa na dhoruba ya mawimbi makali kutokana na kuchafuka kwa hali ya hewa baharini.

 

5 years ago

Michuzi

ZANZIBAR YAPATA MSAADA WA MASHINE ZA KUPIMA JOTO

 Mfanyabiashara Said Nasser Nassor {Bopar} Kushotoakimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Mashine za Kupimia Joto kukamilisha ahadi aliyotoa Wiki iliyopita ya mchango wake wa kusaidia Vifaa kwenye mapambano dhidi ya Virusi vya Corona. Balozi Seif akiangalia moja ya Mashine hiyo ya kupimia Jotola mwili inayosaidia kutoa viashiria vya kutambua matatizo ya maradhi kwenye Mwili wa Mwanaadamu.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddiakitoa shukrani mara...

 

10 years ago

Michuzi

SHAMY TOURS YA ZANZIBAR YAPATA LESENI YA UTALII SWEDEN

IMG_2176Meneja Mwendeshaji wa kampuni ya Shamy Tours and Travel Agent Zanzibar, Bw. Khamis Mwinjuma Simba akitoa maelezo ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo katika sekta ya utalii Zanzibar na Tanzania kwa ujumla wakati wa zoezi la kugawa zawadi za vinyago kwa wageni waalikwa zaidi ya 300 waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Mgahawa mkubwa unaotoa huduma za chakula cha Kitanzania unaomilikiwa na mpishi maarufu duniani mtanzania, Issa Kasuwi Kapande almaarufu kama ‘Chef Issa’ nchini...

 

10 years ago

Michuzi

Jumuiya ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) yapata viongozi wapya

Na Mwashungi Tahir-Maelezo Zanzibar  Mwanahabari Abdallah Abdulrahman Mfaume amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) kwenye mkutano mkuu wa jumuiya hiyo uliombatana na Uchaguzi wa viongozi wapya katika ukumbi wa Ekrotanal Mjini Unguja.  Bw. Mfaume aliibuka mshindi baada ya kupata kura 40 na kumshinda mpinzani wake wa karibu Bw. Suleiman Abdalla ambae alipata kura tisa. Katibu Mtendaji wa ZPC Faki Mjaka ambaye hakuwa na Mpinzani alipata kura 46 na...

 

11 years ago

Michuzi

ZANZIBAR YAPATA MSAADA KUTOKA WIZARA YA BIASHARA YA SERIKALI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Mkurugenzi Sera na Mipango wa Wizara ya Biashara ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Edward Sungula kulia akimkabidhi Funguo ya Gari Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Zanzibar Julian Raphael,kushoto ni Elizabeth Lukaza Mchambuzi wa Shirika la UNDP Tanzania.Hafla imefanyika leo Wizara ya Biashara Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.  Mkurugenzi Sera na Mipango wa Wizara ya Biashara ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Edward Sungula kulia akimkabidhi Vifaa kwa Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

RED CROSS YAKABIDHI MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO ZANZIBAR

Chama cha Msalaba mwekundu Tanzania { red Cross } kimekabidhi msaada wa viatu Pair 90 kwa ajili  ya watoto wa familia zilizowekwa Kambini  katika Skuli ya Sekondari ya Mwanakwerekwe “C” baada ya Nyumba zao kujaa maji ya mvua.
Msaada huo umefuatia Mvua za Masika zilizotokea usiku wa kuamkia Tarehe 3 Mei mwaka huu na kuleta maafa makubwa yaliyosababisha zaidi ya  Nyumba 700 kuathirika  ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi na kuzikosesha makaazi Familia zilizokuwa zikiishi katika nyumba hizo.
Ujumbe ...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADHI YA MAENEO MENGINE YALIKUMBWA NA MAFURIKO HUKO ZANZIBAR BAADA YA MVUA YA MASAA MANANE MFULULIZO

Mandhari ya maeneo yaloathirika na mafuriko nje ya mji wa zanzibar
Nje ya uwanja wa ndege wa Zanzibar hali ilivyokuwa na mvua ndogo ndogo zikiwa zinaendeleaHii ndio hali halisi baada ya mvua kali ilinyesha kwa masaa manane na baadae mvua ndogo ndogo kuendelea
 
Posta ya Kijangwani hakuna alietuma wa kupokea barua, ni kizaizai tu


Hii inanikumbusa sunami iliyotokea Indonesia ilikushanya marundo ya mataka kama hivi



Kiwanja cha kufurahishia watoto kikiwa kimejaa maji kote, Marry Go Round ikiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani