ZENIT, OLYMPIAKOS ZATAKATA LIGI YA MABIGWA ULAYA
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG9jx8auc5qfSeBE6vhFO14Pnw8FOO*GYBPa-XFvuP6kmDCwjZofEkHU5c*GszzaVVs2tj899L2hbxmYeGOxO*2i/Yangaaa.jpg?width=650)
10 years ago
StarTV03 Dec
Ligi Kuu ya Uingereza, Man Utd na Liverpool zatakata.
Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u
shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1.
Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/CNbez2hWIAA8noq-1.jpg)
MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
9 years ago
Bongo504 Nov
Matokeo ya ligi ya mabingwa Ulaya, November 3
![1446586392283_lc_galleryImage_Football_Manchester_Unite](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/1446586392283_lc_galleryImage_Football_Manchester_Unite-300x194.jpg)
Mechi za ligi ya mabingwa wa Ulaya ziliendelea tena usiku wa November 3. Kulikuwa na mechi katika viwanja vinane tofauti kwa michezo ya Kundi A, B, C na D kupigwa.
MATOKEO YA MECHI HIZO;
Shakhtar Donetsk 4-0 Malmo FF
B. Monchengladbach 1-1 Juventus
Benfica 2-1 Galatasaray
Real Madrid 1-0 Paris Saint-Germain
Sevilla 1-3 Manchester City
PSV 2-0 VfL Wolfsburg
Manchester United 1-0 CSKA Moscow
FC Astana 0-0 Atletico de Madrid
10 years ago
GPL11 years ago
Michuzi07 Aug
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Vigogo watoa dozi ligi za Ulaya