ZIFF YATANGAZA FILAMU ZITAZOSHINDANIA TUZO YA SEMBENE OUSMANE
![](http://1.bp.blogspot.com/-_T_mJbQoeNM/VS-b6s8mQ6I/AAAAAAAHRgA/b2ofqgtvnC8/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Tamasha la ZIFF limetangaza filamu 16 zitakazoshindana katika kugombea tuzo ya Sembene Ousmane katika tamasha litakalofanyika baadaye mwaka huu. Filamu zinatoka katika nchi 11 ambazo ni pamoja na Marekani, Brazil, Senegal, Madagascar, Ghana, Cameroon, Morocco, Kenya, South Africa, Ethiopia and Tanzania.
“Shindano hili limetungwa ili kuboresha ufundi wa kutengeneza filamu fupi zinazobuniwa nna vijana wa Kiafrika”, alisema Fabrizio Colombo, Mkurugenzi Msaidizi wa ZIFF. “Filamu 16 zimo katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Vm2X_vNxaBQ/VTAw7ew1lmI/AAAAAAADijk/IC9NlACT3lg/s72-c/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
ZIFF ANNOUNCES NOMINATED FILMS FOR THE SEMBENE OUSMANE FILM COMPETITION
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vm2X_vNxaBQ/VTAw7ew1lmI/AAAAAAADijk/IC9NlACT3lg/s1600/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
The Zanzibar International Film Festival is proud to announce the 16 films in competition for the Sembene Ousmane Film Prize in 2015. The selected film hail from 11 Countries: USA, Brazil, Senegal, Madagascar, Ghana, Cameroon, Morocco, Kenya, South Africa, Ethiopia and Tanzania.
“The competition has been designed to reward excellence in short film production and to encourage the production of new short films, including short documentaries,“ explains ZIFF Assistant Film Director...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qNINU67KwHg/VR1x3-Gf-8I/AAAAAAADeNM/C3QJggOGQTU/s72-c/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
ZIFF YATANGAZA FILAMU ZILIZOCHAGULIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qNINU67KwHg/VR1x3-Gf-8I/AAAAAAADeNM/C3QJggOGQTU/s1600/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-n7YtWhRMetk/VR1x5_X9PjI/AAAAAAADeNU/2XRyj-jdADA/s1600/ZIFF%2BLogo.jpg)
ZIFF is proud to announce the films in the Official Selection based on a record 419 submissions. The list contains 25 feature films, 44 shorts and 27...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*Z0iDsH*EVMrorcBnLIZzFF1VnNB3PF0GydrOY98zFvgUc*w*Qs7aEC8C1itrpAekk-es7ossqalCxCM4AlhxI/b.jpg)
TUZO ZA ZIFF: FILAMU YA SHAHADA NA SHIKAMOO MZEE ZAIBUKA NA TUZO
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Filamu ya Espinho da Rosa “the Thorn of the rose” yatwaa tuzo tatu tamasha la 17 la ZIFF 2014
Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
FILAMU ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau imeondoka na tuzo tatu katika tamasha la 17 la filamu...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0987.jpg?width=650)
FILAMU YA ESPINHO DA ROSA “THE THORN OF THE ROSE” YATWAA TUZO TATU TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ByAI948vpWo/VKffRTyfvDI/AAAAAAAG7Bw/1zTkIEuutw8/s72-c/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
ZIFF YAWAKUMBUSHA WADAU WA FILAMU NCHINI KUWASILISHA FILAMU ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ByAI948vpWo/VKffRTyfvDI/AAAAAAAG7Bw/1zTkIEuutw8/s1600/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
"Kama wewe ni Mtanzania na unataka kuwasilisha filamu yako basi wasiliana na Ibra Mitawi +255 713 300997 au +255 783 300997 au mnaweza kutuma ofisini Zanzibar moja kwa moja, hatutapokea filamu yeyote baada ya tarehe hiyo".
Tunaomba pia mjaribu kuweka filamu ikiwa ndani ya DVD moja na si...
10 years ago
VijimamboKAMATI YA MAANDALIZI YA TUZO ZA FILAMU TANZANIA YASAHURIWA KUTANGAZA TASNIA YA FILAMU KIMATAIFA
10 years ago
MichuziKamati ya Maandalizi ya Tuzo za Filamu Tanzania yashauriwa kutangaza Tasnia ya Filamu kimataifa
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Filamu 419 kushindanishwa Tamasha la ZIFF
NA FESTO POLEA
JUMLA ya filamu 419 zitashindanishwa katika tamasha la Kimataifa la Filamu (ZIFF), lililopangwa kufanyika Julai 18 hadi 26 katika viwanja vya Ngome Kongwe, visiwani Zanzibar.
Kati ya filamu hizo, 25 ni filamu ndefu, 44 ni filamu fupi na 27 ni filamu za makala ‘documentary’.
Filamu hizo zimetoka katika nchi 38 na nyingi zimetoka nchini Ujerumani na kwa mara ya kwanza ZIFF imepokea filamu kutoka nchi ya Jamhuri ya Dominica ya nchi za Karibean.
Mkurugenzi wa tamasha hilo, Prof....