Zijue aina za mikataba ya ajira
Ule msemo wa kazi nzuri ukiwa hujaipata na huwa mbaya ukiwa nayo, unaweza ukaonyesha uhalisia wakati unapopaswa kufahamu ni aina ipi ya mkataba wa ajira uliosainiwa kati ya mwajiri na mwajiriwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Jenista atoa siku 14 kukagua mikataba ya ajira
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ametoa siku 14 kwa maofisa kazi wote nchini, kukagua mikataba ya ajira kama inaendana na kanuni na sheria za ajira nchini. Â Â Â
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Makonda atoa saa 48 kwa mwekezaji kutoa mikataba ya ajira
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ametoa siku mbili kwa mmiliki wa Kiwanda cha kukarabati magari cha Sringcity Enterprises kuwapa wafanyakazi wao mikataba ya ajira ama sivyo atakifungia.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Makonda atoa saa 24 kwa mwekezaji kutoa mikataba ya ajira
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ametoa siku mbili kwa mmiliki wa Kiwanda cha kukarabati magari cha Sringcity Enterprises kuwapa wafanyakazi wao mikataba ya ajira ama sivyo atakifungia.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NB_lyrZRum0/VfdHfnCnlNI/AAAAAAAH40s/zqWPN0RLQ-A/s72-c/download.jpg)
JE WAJUA MKATABA WAKO WA AJIRA NI WA AINA GANI KISHERIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NB_lyrZRum0/VfdHfnCnlNI/AAAAAAAH40s/zqWPN0RLQ-A/s640/download.jpg)
Na Bashir Yakub
Kama ilivyo makubaliano katika shughuli nyingine za kijamii ajira nayo huwa na makubaliano maalum wakati inapoingiwa. Makubaliano haya ndiyo huitwa mkataba na yumkini huingiwa kati ya wahusika wawili yaani muajiriwa na muajiri. Aina ya mahusiano wanayoingia wahusika ndiyo huibua aina za haki na wajibu kwa pande zote mbili. Mwenye haki hutakiwa kutoa haki hiyo kwa mwenzake naye mwenye wajibu huwa hana hiari isipokuwa ...
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Zijue kazi za viambishi
Viambishi vina dhima kubwa katika sarufi. Katika mada hii tutajadili matumizi mbalimbali ya viambishi Na, Ki, U, Ni, Ji, Ku, Li, na Kwa.
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Zijue English tenses
Baada ya kujifunza maumbo (forms) mawili kati matano ya vitenzi (verbs) vya Kiingereza ambayo tutayatumia katika kuunda’English tenses’, leo tutaendelea kujifunza maumbo zaidi. Kabla ya kuendelea tujikumbushe baadhi ya vitenzi na maumbo yake.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s1600/IMG_8858.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDCD3K00oF-QriowL1jD2ejrYhhvdjTVNq6AsJ9VbBjlQ7LGHimcIcJddTRRKIxMRQIsjvYQzCceTISo33QJkB8L/GUFUUD.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2
NI matumaini yangu wapenzi wasomaji wa safu hii mko poa. Leo tunamalizia vipengele vilivyosalia wiki iliyopita, ungana nami. 6.Karaha
Hili pia ni tatizo la wanawake ambalo hawapendi kulikubali. Karaha nyumbani dhidi ya mwanaume huweza kumfanya ajisikie kuhitaji faraja nje ya nyumba. Na wanawake wengi wakimuona mwanaume yupo peke yake baa, hujua kuwa atakuwa amekimbia maudhi ya mkewe na anahitaji faraja. 7.Huruma ya wanawake
...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Zijue mbinu za uwekezaji makini
Ukiamua kuwekeza kupitia masoko ya mitaji na dhamana inatakiwa uwe na malengo ya muda mrefu na uwe umefanya utafiti. Pia ukiwa unataka kuuza hisa inatakiwa uwe na sababu maalumu za kufanya hivyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania