Zijue kazi za viambishi
Viambishi vina dhima kubwa katika sarufi. Katika mada hii tutajadili matumizi mbalimbali ya viambishi Na, Ki, U, Ni, Ji, Ku, Li, na Kwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/6Cw8AcENmiM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5RTl4jGbNYc/VP1JcXHFN8I/AAAAAAAHIzw/AHKHVFy0FyQ/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5RTl4jGbNYc/VP1JcXHFN8I/AAAAAAAHIzw/AHKHVFy0FyQ/s1600/law_5.jpg)
Kuongezeka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kumetengeneza wingi wa ajira maeneo mbambali ya nchi. Mbali na kuongezeka kwa ajira hizi kumekuwepo na tatizo kubwa la waajiriwa kutojua haki zao mbalimbali wawapo maeneo ya kazi.
Niseme jambo moja tu kuwa hakuna suala la msingi kama muajiriwa kujua haki zake. Hii ni kwasababu kupitia kujua haki zake ndipo anapoweza kupata ujira stahiki, posho stahiki, masurufu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fzbhc-tNi2w/VP_wvfNhoqI/AAAAAAAHJgw/3WgsT9Vlorw/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI - 2
![](http://1.bp.blogspot.com/-fzbhc-tNi2w/VP_wvfNhoqI/AAAAAAAHJgw/3WgsT9Vlorw/s1600/law_5.jpg)
Jumatatu ya wiki hii nilianza na makala iitwayo je umeachishwa kazi au we ni mfanyakazi, zijue haki zako. Nilizungumzia masuala kadhaa yahusuyo haki za mfanyakazi. Naligusia kuhusu aina za mkataba wa ajira, muda wa mkataba wa ajira, sehemu ya kufanyia kazi, kipindi cha mpito katika kazi (probation period) na mengine mengi kuhusu ajira. Nilisema na leo tena nasisitiza kuwa ili upate ujira unaostahili ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Zijue English tenses
Baada ya kujifunza maumbo (forms) mawili kati matano ya vitenzi (verbs) vya Kiingereza ambayo tutayatumia katika kuunda’English tenses’, leo tutaendelea kujifunza maumbo zaidi. Kabla ya kuendelea tujikumbushe baadhi ya vitenzi na maumbo yake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDCD3K00oF-QriowL1jD2ejrYhhvdjTVNq6AsJ9VbBjlQ7LGHimcIcJddTRRKIxMRQIsjvYQzCceTISo33QJkB8L/GUFUUD.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2
NI matumaini yangu wapenzi wasomaji wa safu hii mko poa. Leo tunamalizia vipengele vilivyosalia wiki iliyopita, ungana nami. 6.Karaha
Hili pia ni tatizo la wanawake ambalo hawapendi kulikubali. Karaha nyumbani dhidi ya mwanaume huweza kumfanya ajisikie kuhitaji faraja nje ya nyumba. Na wanawake wengi wakimuona mwanaume yupo peke yake baa, hujua kuwa atakuwa amekimbia maudhi ya mkewe na anahitaji faraja. 7.Huruma ya wanawake
...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Zijue mbinu za uwekezaji makini
Ukiamua kuwekeza kupitia masoko ya mitaji na dhamana inatakiwa uwe na malengo ya muda mrefu na uwe umefanya utafiti. Pia ukiwa unataka kuuza hisa inatakiwa uwe na sababu maalumu za kufanya hivyo.
10 years ago
Michuzi26 May
Zijue faida za domain ya .co.tz badala ya .com
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/1FaEF9J5zOdFtV6rkuwR87oCHREnLdk1VI2XNXAmX1bRiu0UqNNJoHjFqX8XRLYMEZlKgFzmUkkwu_NkhWDtIDXAlAeWeuHr-dKwEMX8drfDnnhaRN6f2hr4RA=s0-d-e1-ft#https://www.dudumizi.com/images/domain-name-registration-tanzania.png)
Ni mara ngapi umekuwa ukiumiza sana kichwa kwa sababu majina yote ya .com yanayoendana na jina halisi la biashara yako tayari yameshachukuliwa? mfano, wewe kampuni yako inaitwa Dudumizi, na kila ukitafuta dudumizi.com , Dudumizi.net na hata Dudumizi.info unakuta tayari yameshachukuliwa, hakuna sababu ya kuchanganyikiwa, tunayo .co.tz, majina ya kitanzania zaidi.
Watu wengi wamekuwa wakipendelea kutumia majina ya .com. Wengi wamekuwa na imani kuwa kwa kutumia majina ya .com kinawafanya...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Zijue aina za mikataba ya ajira
Ule msemo wa kazi nzuri ukiwa hujaipata na huwa mbaya ukiwa nayo, unaweza ukaonyesha uhalisia wakati unapopaswa kufahamu ni aina ipi ya mkataba wa ajira uliosainiwa kati ya mwajiri na mwajiriwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLIFsOdU5KFMlZqYt9dnf-37D0p4A7T1vAEvFdjrhktDR1NWvDlzjjxAA8jgvpVGDNvUwmA4Ef88O9L2tpf5E9G/mahaba.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!
Mambo vipi msomaji wa safu hii. Bila shaka unaendelea vizuri na harakati zako za kimapenzi na kwa mara nyingine upo tena katika safu hii ili kufuatilia nini kimejiri. Moja ya tatizo kubwa kabisa linalowasumbua wapenzi wengi ni tabia ya kutoaminiana baina yao. Kila mmoja hudhani mwenzake anakwenda kinyume na hili, mara nyingi lawama huenda zaidi kwa wanaume kwani ni wepesi kuchepuka.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania