Zijue Kamati za Serikali Mtandao na Kazi zake
![](https://img.youtube.com/vi/6Cw8AcENmiM/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIkPT436*Rhv3eWzKxC5fdOICt141WthFgdLqvrFlKtfG*52cdPyPTCkwBk0jknDhKTAisJNsI1jurT*u1BymVlX/papai.jpg)
NI MSIMU WA PAPAI, ZIJUE FAIDA ZAKE KIAFYA
PAPAI, tunda lenye ladha nzuri kama sukari, siyo tu ni tamu kulila, lakini ni chanzo kikuu cha virutubisho vinavyotoa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mwili, yakiwemo yale hatari ambayo huchukua maisha ya watu kila kukicha. Huu ni msimu wake kwa ukanda wa Pwani, ni vizuri ukayala kwa wingi. Kinga dhidi ya magonjwa ya moyo
Utaona kwamba maradhi ya moyo yana kinga karibu katika kila tunda au chakula cha asili....
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Zijue kazi za viambishi
Viambishi vina dhima kubwa katika sarufi. Katika mada hii tutajadili matumizi mbalimbali ya viambishi Na, Ki, U, Ni, Ji, Ku, Li, na Kwa.
10 years ago
Zitto Kabwe, MB07 Dec
MAENDELEO NA MAGEUZI KATIKA UKAGUZI NA KAZI ZA KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI
View this document on Scribd
![](http://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3427&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-s5UAZZu97Bw/VIP0o6RWVhI/AAAAAAAG1uY/im10bdKrtgY/s72-c/121763be872e1c66f1283b5ade15117c.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fzbhc-tNi2w/VP_wvfNhoqI/AAAAAAAHJgw/3WgsT9Vlorw/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI - 2
![](http://1.bp.blogspot.com/-fzbhc-tNi2w/VP_wvfNhoqI/AAAAAAAHJgw/3WgsT9Vlorw/s1600/law_5.jpg)
Jumatatu ya wiki hii nilianza na makala iitwayo je umeachishwa kazi au we ni mfanyakazi, zijue haki zako. Nilizungumzia masuala kadhaa yahusuyo haki za mfanyakazi. Naligusia kuhusu aina za mkataba wa ajira, muda wa mkataba wa ajira, sehemu ya kufanyia kazi, kipindi cha mpito katika kazi (probation period) na mengine mengi kuhusu ajira. Nilisema na leo tena nasisitiza kuwa ili upate ujira unaostahili ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5RTl4jGbNYc/VP1JcXHFN8I/AAAAAAAHIzw/AHKHVFy0FyQ/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5RTl4jGbNYc/VP1JcXHFN8I/AAAAAAAHIzw/AHKHVFy0FyQ/s1600/law_5.jpg)
Kuongezeka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kumetengeneza wingi wa ajira maeneo mbambali ya nchi. Mbali na kuongezeka kwa ajira hizi kumekuwepo na tatizo kubwa la waajiriwa kutojua haki zao mbalimbali wawapo maeneo ya kazi.
Niseme jambo moja tu kuwa hakuna suala la msingi kama muajiriwa kujua haki zake. Hii ni kwasababu kupitia kujua haki zake ndipo anapoweza kupata ujira stahiki, posho stahiki, masurufu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKvSG3Ilte4JmnLdlWueG0OReBv2ULhrS0hFku9s3SxJilAy*5nA65n-yuwpTIZ*5qgDiRZCK4PQqCey1Yl8JZK/KAMATIYAMAADILI.png)
UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)
Kamati ya Usalama na Maadili tayari imemaliza kikao chake. Kamati Kuu itaanza kikao chake saa 10 jioni
10 years ago
Habarileo28 May
Kamati yapongeza sheria ya makosa ya mtandao
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imepongeza serikali kwa kuwasilisha muswada wa sheria ya makosa ya mtandao, huku ikisisitiza elimu kwa wananchi ili waepuke makosa yatakayowatia hatiani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania