Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zijue Kamati za Serikali Mtandao na Kazi zake

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NI MSIMU WA PAPAI, ZIJUE FAIDA ZAKE KIAFYA

PAPAI, tunda lenye ladha nzuri kama sukari, siyo tu ni tamu kulila, lakini ni chanzo kikuu cha virutubisho vinavyotoa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mwili, yakiwemo yale hatari ambayo huchukua maisha ya watu kila kukicha. Huu ni msimu wake kwa ukanda wa Pwani, ni vizuri ukayala kwa wingi. Kinga dhidi ya magonjwa ya moyo
Utaona kwamba maradhi ya moyo yana kinga karibu katika kila tunda au chakula cha asili....

 

10 years ago

Mwananchi

Zijue kazi za viambishi

Viambishi vina dhima kubwa katika sarufi. Katika mada hii tutajadili matumizi mbalimbali ya viambishi Na, Ki, U, Ni, Ji, Ku, Li, na Kwa.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

9 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Waandishi wa Habari, leo kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)IFUATAYO NI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMA ILIVYOWASILISHWA LEO NA KINANA  Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI - 2

Na   Bashir  Yakub.
Jumatatu  ya  wiki  hii nilianza  na  makala  iitwayo   je  umeachishwa  kazi  au we  ni  mfanyakazi,  zijue  haki  zako. Nilizungumzia  masuala  kadhaa  yahusuyo  haki  za  mfanyakazi. Naligusia  kuhusu  aina  za  mkataba wa ajira, muda wa mkataba  wa ajira,  sehemu  ya  kufanyia  kazi, kipindi  cha  mpito katika  kazi (probation period) na mengine  mengi kuhusu  ajira. Nilisema  na  leo  tena  nasisitiza  kuwa  ili  upate  ujira  unaostahili   ikiwa  ni  pamoja  na...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE UMEACHISHWA KAZI AU WE NI MFANYAKAZI, ZIJUE HAKI ZAKO ZA MSINGI

Na Bashir Yakub.
Kuongezeka kwa makampuni na taasisi mbalimbali kumetengeneza wingi wa ajira maeneo mbambali ya nchi. Mbali na kuongezeka kwa ajira hizi kumekuwepo na tatizo kubwa la waajiriwa kutojua haki zao mbalimbali wawapo maeneo ya kazi.
Niseme jambo moja tu kuwa hakuna suala la msingi kama muajiriwa kujua haki zake. Hii ni kwasababu kupitia kujua haki zake ndipo anapoweza kupata ujira stahiki, posho stahiki, masurufu...

 

10 years ago

GPL

UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)

Kamati ya Usalama na Maadili tayari imemaliza kikao chake. Kamati Kuu itaanza kikao chake saa 10 jioni

 

10 years ago

Habarileo

Kamati yapongeza sheria ya makosa ya mtandao

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imepongeza serikali kwa kuwasilisha muswada wa sheria ya makosa ya mtandao, huku ikisisitiza elimu kwa wananchi ili waepuke makosa yatakayowatia hatiani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani