Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zijue faida za domain ya .co.tz badala ya .com


Ni mara ngapi umekuwa ukiumiza sana kichwa kwa sababu majina yote ya .com yanayoendana na jina halisi la biashara yako tayari yameshachukuliwa? mfano, wewe kampuni yako inaitwa Dudumizi, na kila ukitafuta dudumizi.com , Dudumizi.net na hata Dudumizi.info unakuta tayari yameshachukuliwa, hakuna sababu ya kuchanganyikiwa, tunayo .co.tz, majina ya kitanzania zaidi.
Watu wengi wamekuwa wakipendelea kutumia majina ya .com. Wengi wamekuwa na imani kuwa kwa kutumia majina ya .com kinawafanya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NI MSIMU WA PAPAI, ZIJUE FAIDA ZAKE KIAFYA

PAPAI, tunda lenye ladha nzuri kama sukari, siyo tu ni tamu kulila, lakini ni chanzo kikuu cha virutubisho vinavyotoa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mwili, yakiwemo yale hatari ambayo huchukua maisha ya watu kila kukicha. Huu ni msimu wake kwa ukanda wa Pwani, ni vizuri ukayala kwa wingi. Kinga dhidi ya magonjwa ya moyo
Utaona kwamba maradhi ya moyo yana kinga karibu katika kila tunda au chakula cha asili....

 

10 years ago

Dewji Blog

Now you can be a domain registrar with tzNIC!

tzNIC-mac

TzNIC has been carrying accreditation processes whereby capable companies are carefully screened and once approved (accredited) are given the opportunity of registering domains on behalf of tzNIC.  tzNIC has always encouraged clients to register their domains through the accredited registrars. To date May 2015 there are about 43 accredited registrars. The requirements for accredited registrar are; legal registration or incorporation of the organization with a permanent physical address in...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pata Domain yako ya .tz kwa Bei Poa

tzNIC-Post

Shirika la tzNIC ni shirika la kitanzania, linalo endeshwa na watanzania ila lisilo la kiserikali. tzNIC inakuwezesha kusajili domain ya tovuti yako ya .tz. Na hivyo basi tzNIC kwakuwa asasi isiyo ya kutafuta faida bei zao ni ndogo sana hivyo kukuwezesha Mtanzania wa kawaida kabisa kuwa na domain ya .tz. Hivyo pale unapo taka kusajili domain ambayo inaishia na .tz hawa ndio wahusika wakuu ambao wametoa vibali kwa wasajili zaidi ya 43 ambao wako Tanzania nzima. Lengo kuu la tzNIC ni kukuza...

 

10 years ago

Michuzi

Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote

Domain ni Nini? Ikiwa kuna mtu anataka kutembelea tovuti/website yako (kama wewe ulivyotembelea website hii) atahitaji kutumia domain yako au kwa kuiandika moja kwa moja au kupitia link kutoka kwenye search engine ili kuweza kuiona. Kompyuta huwasiliana kwa kutumia namba zinazoitwa anwani ya IP (IP Address). Hii  ni sawa na unavyo tumia namba ya simu fulani kuwasiliana na fulani. Jina la domain katika mtandao ni kama jina linaloendana na namba husika za simu katika simu yako.
Badala ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Zijue kazi za viambishi

Viambishi vina dhima kubwa katika sarufi. Katika mada hii tutajadili matumizi mbalimbali ya viambishi Na, Ki, U, Ni, Ji, Ku, Li, na Kwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Zijue English tenses

Baada ya kujifunza maumbo (forms) mawili kati matano ya vitenzi (verbs) vya Kiingereza ambayo tutayatumia katika kuunda’English tenses’, leo tutaendelea kujifunza maumbo zaidi. Kabla ya kuendelea tujikumbushe baadhi ya vitenzi na maumbo yake.

 

10 years ago

GPL

ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!

Mambo vipi msomaji wa safu hii. Bila shaka unaendelea vizuri na harakati zako za kimapenzi na kwa mara nyingine upo tena katika safu hii ili kufuatilia nini kimejiri. Moja ya tatizo kubwa kabisa linalowasumbua wapenzi wengi ni tabia ya kutoaminiana baina yao. Kila mmoja hudhani mwenzake anakwenda kinyume na hili, mara nyingi lawama huenda zaidi kwa wanaume kwani ni wepesi kuchepuka.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu...

 

11 years ago

Mwananchi

Zijue mbinu za uwekezaji makini

Ukiamua kuwekeza kupitia masoko ya mitaji na dhamana inatakiwa uwe na malengo ya muda mrefu na uwe umefanya utafiti. Pia ukiwa unataka kuuza hisa inatakiwa uwe na sababu maalumu za kufanya hivyo.

 

10 years ago

GPL

ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2

NI matumaini yangu wapenzi wasomaji wa safu hii mko poa. Leo tunamalizia vipengele vilivyosalia wiki iliyopita, ungana nami. 6.Karaha
Hili pia ni tatizo la wanawake ambalo hawapendi kulikubali. Karaha nyumbani dhidi ya mwanaume huweza kumfanya ajisikie kuhitaji faraja nje ya nyumba. Na wanawake wengi wakimuona mwanaume yupo peke yake baa, hujua kuwa atakuwa amekimbia maudhi ya mkewe na anahitaji faraja. 7.Huruma ya wanawake
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani