Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Now you can be a domain registrar with tzNIC!

tzNIC-mac

TzNIC has been carrying accreditation processes whereby capable companies are carefully screened and once approved (accredited) are given the opportunity of registering domains on behalf of tzNIC.  tzNIC has always encouraged clients to register their domains through the accredited registrars. To date May 2015 there are about 43 accredited registrars. The requirements for accredited registrar are; legal registration or incorporation of the organization with a permanent physical address in...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Sasa Leo Twende Kitaaluma Kidogo na tzNIC



Umesha jiulizaga kwanini kuna .co, .or, .go, .ac, nakadhalika. Katika Domain Name System (DNS) yani mfumo wa domain kuna ngazi tofauti. Leo nataka tuongelee SLD yani Second Level Domain au ngazi ya pili ya domain ambayo hii iko punde tuu baada ya Top Level Domain (TLD). 
Mfano .co katika .co.tz ni SLD wakati .tz ni TLD (Top Level Domain).  Kwa kawaida Second Level Domain (SLD) huwa ina tambulisha shirika (organization) linalo sajili hio domain liko katika mfumo gani au ni la aina gani.  Kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Zijue faida za domain ya .co.tz badala ya .com


Ni mara ngapi umekuwa ukiumiza sana kichwa kwa sababu majina yote ya .com yanayoendana na jina halisi la biashara yako tayari yameshachukuliwa? mfano, wewe kampuni yako inaitwa Dudumizi, na kila ukitafuta dudumizi.com , Dudumizi.net na hata Dudumizi.info unakuta tayari yameshachukuliwa, hakuna sababu ya kuchanganyikiwa, tunayo .co.tz, majina ya kitanzania zaidi.
Watu wengi wamekuwa wakipendelea kutumia majina ya .com. Wengi wamekuwa na imani kuwa kwa kutumia majina ya .com kinawafanya...

 

10 years ago

Michuzi

Okoa hela ya matangazo ya karatasi, pata tovuti ya .tz na tzNIC!

Maranyingi wafanya biashara hufikiria kutangaza biashara zao magazetini, kwenye mabango, vipeperushi na kadhalika. Wafanyabiashra huamini kwamba njia hizi hufikia watu wengi. Je ni kweli kwamba matangazo ya karatasi hufikia walengwa wengi? Kama mfanyabiashara na mtangazaji, unajuaje kuwa tangazo lako limefikia walengwa wangapi na kwa wakati gani?Kwa kutumia tovuti, unaweza kujua ni watu wangapi wanao tembelea tovuti yako, na wanatembelea kwa muda gani. Kwa kujua ni watu wangapi wanaotembelea...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pata Domain yako ya .tz kwa Bei Poa

tzNIC-Post

Shirika la tzNIC ni shirika la kitanzania, linalo endeshwa na watanzania ila lisilo la kiserikali. tzNIC inakuwezesha kusajili domain ya tovuti yako ya .tz. Na hivyo basi tzNIC kwakuwa asasi isiyo ya kutafuta faida bei zao ni ndogo sana hivyo kukuwezesha Mtanzania wa kawaida kabisa kuwa na domain ya .tz. Hivyo pale unapo taka kusajili domain ambayo inaishia na .tz hawa ndio wahusika wakuu ambao wametoa vibali kwa wasajili zaidi ya 43 ambao wako Tanzania nzima. Lengo kuu la tzNIC ni kukuza...

 

10 years ago

Michuzi

Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote

Domain ni Nini? Ikiwa kuna mtu anataka kutembelea tovuti/website yako (kama wewe ulivyotembelea website hii) atahitaji kutumia domain yako au kwa kuiandika moja kwa moja au kupitia link kutoka kwenye search engine ili kuweza kuiona. Kompyuta huwasiliana kwa kutumia namba zinazoitwa anwani ya IP (IP Address). Hii  ni sawa na unavyo tumia namba ya simu fulani kuwasiliana na fulani. Jina la domain katika mtandao ni kama jina linaloendana na namba husika za simu katika simu yako.
Badala ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Registrar: Conflicts very disruptive

Conflicts within political parties not only interrupt their growth potential but also tarnish their image in the society especially during this period when the country is heading towards the General Election.

 

10 years ago

IPPmedia

ACT party against registrar's directive


ACT party against registrar's directive
IPPmedia
Alliance for Change and Transparency (ACT) party yesterday rejected Registrar of Political Parties' call to cancel their decision on the planned leadership changes during this years' party general meeting. Judge Francis Mutungi's call to ACT leadership was ...

 

10 years ago

The New Indian Express

No Responsibility to Secure Deposits, Says Coop Registrar


East African Business Week
No Responsibility to Secure Deposits, Says Coop Registrar
The New Indian Express
THIRUVANANTHAPURAM:The Registrar of Cooperative Societies has finally come out distancing itself from the miscellaneous and welfare cooperatives mobilising deposits by stating that it has no responsibility to secure the amount being deposited in such ...
EALA passes critical BillsEast African Business Week
Regional Cooperatives Law PassedAllAfrica.com
Cooperatives to Recapture lost...

 

11 years ago

Daily News

Kikwete mourns ex-political parties registrar


Kikwete mourns ex-political parties registrar Liundi
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has expressed deep grief for the sudden demise of the first registrar of political parties in the country, George Liundi, who passed away on January 12, this year. He sent a condolence message to the Registrar of Political Parties, ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani