Sasa Leo Twende Kitaaluma Kidogo na tzNIC
Umesha jiulizaga kwanini kuna .co, .or, .go, .ac, nakadhalika. Katika Domain Name System (DNS) yani mfumo wa domain kuna ngazi tofauti. Leo nataka tuongelee SLD yani Second Level Domain au ngazi ya pili ya domain ambayo hii iko punde tuu baada ya Top Level Domain (TLD).
Mfano .co katika .co.tz ni SLD wakati .tz ni TLD (Top Level Domain). Kwa kawaida Second Level Domain (SLD) huwa ina tambulisha shirika (organization) linalo sajili hio domain liko katika mfumo gani au ni la aina gani. Kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Dec
HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/12/marathon.jpg)
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Picha 15 muonekano wa Dar town na kamvua kidogo leo Dec 28
Najua kuna watu wangu wanapenda kufahamu hali ya mazingira yanavyokuwa katika kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa mwaka katika maeneo mbalimbali, Na tayari ripota wa millardayo.com amefanya kazi hiyo na ameyakusanya matukio katika picha yakionyesha muonekano wa baadhi ya maeneo katika jiji la Dar es salaam leo Dec 28 2015. Unataka kutumiwa MSG za habari […]
The post Picha 15 muonekano wa Dar town na kamvua kidogo leo Dec 28 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Now you can be a domain registrar with tzNIC!
TzNIC has been carrying accreditation processes whereby capable companies are carefully screened and once approved (accredited) are given the opportunity of registering domains on behalf of tzNIC. tzNIC has always encouraged clients to register their domains through the accredited registrars. To date May 2015 there are about 43 accredited registrars. The requirements for accredited registrar are; legal registration or incorporation of the organization with a permanent physical address in...
11 years ago
Dewji Blog20 Jun
Skylight Band leo kuzindua wimbo wao mpya “Pasua Twende” ndani yak iota cha Thai Village
Vijana machachari wa Skylight Band Kutoka kushoto Donode, Digna Mbepera, Sony Masamba na Mary Lucos wakitoa Burudani kwa mashabiki wao ndani ya Thai Village,USikose Leo kutakuwa pia na Uzinduzi wa Wimbo wao mpya PASUA TWENDE Itakuwa hapatoshiii.
Weweeee Usicheze na Sony masamba(katikati)akiyarudi mauno safi kabisaaaa kuwapa burudani wapenzi wa Skylight ndani ya Thai Village.
Hapo hapooo Taratibuuuu weweee Sam Mapenzi akiyarudi mastep ndani ya Thai Village Sony Masamba akifuahiii na...
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Tujumuike Pamoja leo kucheza wimbo mpya wa Skylight Band “Pasua Twende” kiota cha maraha Thai Village jijini Dar
Na hii ndio Video ya Skylight Band ya Wimbo mpya “PASUA TWENDE”
Mary Lucos akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Hashim Donode sambamba na Digna Mbepera Ijumaa iliypoita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
Vijana wa Skylight Band wakijimwaga na sebene, kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi.
Sio kwamba wanaanguka la hasha ni mbewembwe za Majembe ya Skylight Band katika kutoa burudani kwa mashabiki wao.
11 years ago
Dewji Blog20 Jun
Skylight Band yazidi kukubalika na mashabiki, leo kuzindua wimbo wao mpya “Pasua Twende” ndani yak iota cha Thai Village
Vijana machachari wa Skylight Band Kutoka kushoto Donode, Digna Mbepera, Sony Masamba na Mary Lucos wakitoa Burudani kwa mashabiki wao ndani ya Thai Village,USikose Leo kutakuwa pia na Uzinduzi wa Wimbo wao mpya PASUA TWENDE Itakuwa hapatoshiii.
Weweeee Usicheze na Sony masamba(katikati)akiyarudi mauno safi kabisaaaa kuwapa burudani wapenzi wa Skylight ndani ya Thai Village.
Hapo hapooo Taratibuuuu weweee Sam Mapenzi akiyarudi mastep ndani ya Thai Village Sony Masamba akifuahiii na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D2595GvAnXQ/VYvAnBF6FGI/AAAAAAAC7a8/WE8ZRZlhAYU/s72-c/New%2BPicture.png)
Okoa hela ya matangazo ya karatasi, pata tovuti ya .tz na tzNIC!
![](http://1.bp.blogspot.com/-D2595GvAnXQ/VYvAnBF6FGI/AAAAAAAC7a8/WE8ZRZlhAYU/s640/New%2BPicture.png)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_00782.jpg?width=650)
TUJUMUIKE PAMOJA LEO KUCHEZA WIMBO MPYA WA SKYLIGHT BAND "PASUA TWENDE" KIOTA CHA MARAHA THAI VILLAGE JIJINI DAR
11 years ago
Habarileo28 Apr
Darasa la Pili hoi kitaaluma
TATHMINI ya msingi ya Taifa kupima uwezo wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa wanafunzi wa Darasa la Pili, imebaini kuwa asilimia 98 ya wanafunzi wa darasa hilo nchini, hawaelewi wanachokisoma. Kwa mujibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, tathmini hiyo ilifanywa kwa baraka za wizara yake kwa kushirikiana na Shirika la Misaada la Marekani (USAID), ili kupata taarifa kuhusu hali halisi ilivyo kwa wanafunzi wa Tanzania, kumudu stadi za KKK wanapofika Darasa la...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10