ZITTO KURUKA KAMA CHADEMA
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe . USHINDANI wa kisiasa kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umefikia hatua mpya baada ya CCM kuibuka na mkakati wa kumtumia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kupambana na CHADEMA waziwazi. Katika mkakati huo CCM imepanga kukodisha helikopta ya kumpeleka Zitto katika mikoa minne kwa gharama ya sh milioni 50 mara tu baada ya CHADEMA...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Zitto: Nitaipaisha ACT kama Chadema
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe, amesema atafanya kazi kukijenga chama Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kwa kukipaisha kama alivyofanya kazi akiwa ndani ya Chadema.
Amesema akiwa kiongozi Chadema kwa miaka zaidi ya 20 alifanya kazi ya kukijenga chama na kuhakikisha kinatoka kuwa na wabunge wanne na sasa kimepanda na kuwa na wabunge 48.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iQ6E7KpUEew/VQwwur3Vt0I/AAAAAAAHLp0/3QgR5XuY8kY/s72-c/zitto.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
Mkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d-NZ6oQiLRo/VcCkcrv0CvI/AAAAAAAAA7s/nxyfyCpAQro/s640/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uKFbKWC5sec/VcCf0i5OouI/AAAAAAAAA7c/1jmDKwUOGqI/s640/1%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Dec
Zitto kuanza ziara kama akina Slaa, Mbowe
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema), anatarajia kuanza ziara ya siku tano mkoani Kigoma, itakayomfikisha katika majimbo mbalimbali ya uchaguzi mkoani Kigoma.
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Zitto aibuka CHADEMA
WAKATI mashabiki na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakihoji uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumvua nafasi zote za uongozi Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--DSnfuTV6yb0QoLFEshf4CbQ6kxkLxnMcImTXT6RBExz-RbukYHGTCgHcQJt8eqPeiEinyQ2y*3gjgeAHWiD0K/06ZITTO5.jpg?width=650)
ZITTO AICHAKAZA CHADEMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R0qbajhq766P24tX0dpu3RhxwmtVdvIDfnRD45IKQpnHa3U6c4h6DgDlulwzIBMMsMp1jUMY2L7abzQFKhxsWS2/ZittoKabwe.jpg?width=650)
ZITTO AWABWAGA CHADEMA MAHAKAMANI
11 years ago
Habarileo22 Dec
Zitto akomalia demokrasia Chadema
MBUNGE wa jimbo la Kigoma Kaskazini mkoani Kigoma, Kabwe Zitto amesema kuwa ataendelea kupigania haki yake ya kidemokrasia na uwajibikaji ndani ya chama chake hadi dakika za mwisho.
10 years ago
IPPmedia11 Mar
Zitto loses case against Chadema
IPPmedia
IPPmedia
The High Court in Dar es Salaam yesterday ruled in favour of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) after it threw out a case filed by the party's former Deputy Secretary General, Zitto Kabwe against Chadema Board of Trustees and the Secretary ...
Zitto loses court battle, axed from ChademaDaily News
all 2