Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto: Nitaipaisha ACT kama Chadema

ACTNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe, amesema atafanya kazi kukijenga chama Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kwa kukipaisha kama alivyofanya kazi akiwa ndani ya Chadema.
Amesema akiwa kiongozi Chadema kwa miaka zaidi ya 20 alifanya kazi ya kukijenga chama na kuhakikisha kinatoka kuwa na wabunge wanne na sasa kimepanda na kuwa na wabunge 48.
Akizungumza na waandishi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ZITTO KURUKA KAMA CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe . USHINDANI wa kisiasa kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umefikia hatua mpya baada ya CCM kuibuka na mkakati wa kumtumia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kupambana na CHADEMA waziwazi. Katika mkakati huo CCM imepanga kukodisha helikopta ya kumpeleka Zitto katika mikoa minne kwa gharama ya sh milioni 50 mara tu baada ya CHADEMA...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO

 Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange (kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa mjini, Chiku Abwao baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo Dar es Salaam leo mchana. Mbunge Chiku Abwao (kulia), akionesha kadi ya chama cha ACT-Wazalendo baada ya kukabidhiwa.
  Mbunge Chiku Abwao (kulia), akizungumza na wanahabari baada ya kukabidhiwa kadi ya chama cha ACT-Wazalendo.

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY. --Ndugu wanahabari kumekuwa na utaratibu wa habari zinazoupotosha umma wa watanzania kuhusu chama chetu cha ACT-Tanzania.
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...

 

10 years ago

Wazalendo To Get Meaningful Development.

Zitto: Vote for ACT


IPPmedia
Zitto: Vote for ACT-Wazalendo to get meaningful development.
IPPmedia
Leader of ACT-Wazalendo Zitto Kabwe has called on Kigoma residents to vote for candidates from the party if they are to get meaningful development. Zitto, who vies for the Kigoma urban parliamentary seat on the party's ticket, said it was through it ...

 

10 years ago

TheCitizen

Why Zitto’s ACT is likely to be a threat

Dar es Salaam. The new entrant to the Tanzania’s political arena, Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), is set to pose a serious threat to major political players in the country, analysts have said.

 

10 years ago

TheCitizen

Zitto will be my PM, says ACT candidate

Candidate says government has failed to reciprocate Kigoma people’s generosity

 

10 years ago

Daily News

Zitto formally joins ACT


IPPmedia
Zitto formally joins ACT
Daily News
IT is now official. Former Kigoma North MP, Mr Kabwe Zuberi Zitto on Sunday announced to have joined the Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), a new political party he has been linked with after he fell out with Chadema. The move comes ...
Bunge calls for improved Disaster BillIPPmedia

all 9

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto aingia na wanachama 12 ACT

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana alitaja sababu tano za kujiunga na chama cha ACT-Tanzania huku akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi asiyeyumbishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani