Zitto, Mwigulu wang’ara urais 2015
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema) ameng’ara katika mbio za urais mwaka 2015 akipata asilimia 18 tofauti na wagombea wengine wanaotajwa kugombea nafasi hiyo kupitia muungano wa vyama vinne vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), utafiti umebaini.
Takwimu hizo zilitolewa na Asasi ya Utafiti wa Elimu Tanzania ( TEDRO) kwa lengo la kutathmini ushiriki wa vijana katika siasa kama wagombea na namna ambavyo vijana wanavyopokewa katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Zitto, Mwigulu waungana urais 2015
Na Mwandishi Wetu
WANASIASA wawili vijana ambao wamejijengea umaarufu wa kisiasa ndani ya makundi mbalimbali ya kijamii hapa nchini wameunganisha nguvu zao za kusaka ukuu wa dola katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Wanasiasa hao, Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Mwigulu Nchemba, Mbunge wa Iramba Magharibi na pia Naibu Waziri wa Fedha ambao jana walialikwa kushiriki mahojiano katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Televisheni ya Taifa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uw82coEJSAE/U4OzmgBmeMI/AAAAAAAFlSM/RwxFjA6p4LI/s72-c/unnamed+(73).jpg)
Kinamama wang'ara Sekta ya Uchukuz bungenii. Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uw82coEJSAE/U4OzmgBmeMI/AAAAAAAFlSM/RwxFjA6p4LI/s1600/unnamed+(73).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E1O-U8ArIXU/U4OzmyzNY2I/AAAAAAAFlSU/HF5bEIDWADs/s1600/unnamed+(75).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D1veCO9lbd0/U4OznxCQcDI/AAAAAAAFlSY/AH0aMVXfzSo/s1600/unnamed+(77).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnXaNFbfM9JiPq8E6ZcrhtTwTjVNhgBC*90TTS*hg*a2BGTYCJcP8b*50Bsr5OQTxEnkirGEfjKUGW7waAyQ69Sx/IMG_8980.jpg)
URAIS 2015: JANUARI VS MWIGULU NGOMA NZITO!
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
MWIGULU NCHEMBA: NIMEOMBWA NA WAZEE NIGEMBEE URAIS 2015
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Jaja, Tegete wang’ara
11 years ago
Tanzania Daima28 May
14 wang’ara Siku ya Gofu
WACHEZAJI 14 kati ya 52 wa mchezo wa gofu jijini Dar es Salaam ambao walishiriki mashindano yaliyojulikana kama ‘Siku ya Gofu’, mwishoni mwa wiki waliibuka kidedea baada ya kufanya vizuri...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p_sYft3ZeF0/VC_e39zJ_2I/AAAAAAAGnvA/XJo1LrACvuo/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Mahakama wang'ara Shimiwi
Timu ya Mahakama ambayo inanolewa na kocha wa zamani wa klabu ya Simba na timu ya Taifa, Abdallah “King Mputa” Kibadeni jana iliibuka na ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya Ras Tanga na kuingia hatua ya robo fainali.
Wakati timu ya soka ikiingia katika hatua hiyo muhimu, timu ya mchezo, kamba (wanawake na...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Olimpiki Maalumu wang’ara
KATIKA kudhihirisha kuwa wanaweza, timu ya Tanzania inayoshiriki Olimpiki Maalumu imeendelea kuvuna medali kwenye mashindano ya dunia yanayofanyika Los Angles, Marekani.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uEN0ud5qVLA/VWIdxsTctZI/AAAAAAAAuUA/ZL8q_-IjSL0/s72-c/Mwigulu%2BNchemba.jpg)