Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZITTO SPIDI 120

Na Elvan Stambuli
MWENDO  wa Kiongozi Mkuu wa Alliance for Change and Transparency (ACT) Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe (pichani) umetafsiriwa kuwa ni wa spidi 160 kutokana na kujawa wasikilizaji katika mikutano yake anayofanya kwenye  mikoa mbalimbali nchini.
Zitto ameshafanya mikutano katika Mikoa ya Ruvuma, Njombe, Morogoro, Shinyanga na Mwanza na mikutano yake imekuwa ikihudhuriwa na wananchi wengi, hivyo kutumia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Lowassa aahidi utendaji spidi 120

MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia anaungwa mkono na vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na NLD, Edward Lowassa amesema endapo atachaguliwa kuwa rais ataunda serikali isiyokuwa ‘nyoronyoro’.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam, Simba spidi 180

Kama ilivyobashiriwa mapema kuwa Yanga, Azam kasi na Simba kisasi, ndivyo matokeo ya mechi za jana za Ligi Kuu yalivyotokea.

 

9 years ago

Mwananchi

Spidi ya Dk Magufuli inajibu maswali yaliyokosa majibu

Kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli alitamka kuwa mara atakapoapishwa ataanza kazi mara moja.

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AKOSHWA NA SPIDI YA UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU


Charles James, Michuzi TV

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwa kujitahidi kuendesha kwa spidi ujenzi wa Hospitali mbili za Uhuru na Mlolo.

Jafo amesema kukamilika kwa haraka kwa ujenzi wa Hospitali hizo kutatoa fursa nzuri kwa wananchi wa Chamwino kupata huduma bora za kiafya.

Akizungumza katika ziara yake ya kukagua hospitali hizo, Jafo amesema ujenzi wa hospitali hizo umeenda kwa spidi inayotakiwa hivyo kuwa na imani zitaanza...

 

9 years ago

GPL

WATAFITI: NYIMBO ZA EMINEM ZINAONGEZA SPIDI YA MAZOEZI

 Rapa maarufu wa Marekani, Mathew Matthers Eminem. UNAWEZA kudhani ni utani lakini hili limetokea nchini Uingereza baada ya jopo la watafiti nchini humo kutoa utafiti wao kuwa nyimbo za rapa maarufu wa Marekani, Mathew Matthers zinaongeza morali ya mazoezi na spidi kwa wanamichezo. Watafiti hao kutoka Chuo Kikuu cha Hartpury, Uingereza walidai kutumia miezi mitatu wakichunguza matokeo ya kisaikolojia na kifizikia kwa...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AWATAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUFANYA KAZI KWA SPIDI


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo (kushoto) akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Shirika la Elimu Kibaha, Prof Rafael Chibunda (kulia) leo jijini Dodoma. Katikati ni Mkurugenzi wa Bodi hiyo, Robert Shillingi. Waziri wa Nchi Ofis ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara yake, pamoja na Viongozi wapya wa Shirika la Elimu Kibaha baada ya leo kuwakabidhi vitendea kazi. Mwenyekiti wa Shirika la Elimu Kibaha Mkoani Pwani,...

 

10 years ago

Daily News

Over 120 flood victims resettled in Kinondoni


Over 120 flood victims resettled in Kinondoni
Daily News
OVER 120 families have been resettled at surveyed plots allocated by the government after being evacuated from flood prone areas of Kinondoni municipality in Dar es Salaam. District Commissioner (DC), Mr Paul Makonda, said the municipality is ...

 

11 years ago

Mwananchi

Siku 120 za mapambano ya dawa za kulevya

>Huenda mwaka huu ukavunja rekodi ya kuwakamata watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya kwani ndani ya siku 120, Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kimekamata kilo 238 za aina mbalimbali za dawa hizo.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

EU to send 120 observers for October election

The European Union yesterday confirmed it will deploy 120 election observers under Election Observation Mission (EOM) to oversee the general election in October. The EU increased the mission compared to the 2010 general election when 68 […]

The post EU to send 120 observers for October election appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani