Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATAFITI: NYIMBO ZA EMINEM ZINAONGEZA SPIDI YA MAZOEZI

 Rapa maarufu wa Marekani, Mathew Matthers Eminem. UNAWEZA kudhani ni utani lakini hili limetokea nchini Uingereza baada ya jopo la watafiti nchini humo kutoa utafiti wao kuwa nyimbo za rapa maarufu wa Marekani, Mathew Matthers zinaongeza morali ya mazoezi na spidi kwa wanamichezo. Watafiti hao kutoka Chuo Kikuu cha Hartpury, Uingereza walidai kutumia miezi mitatu wakichunguza matokeo ya kisaikolojia na kifizikia kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Watafiti: mazoezi hutibu saratani

Watafiti kutoka Marekani wanasema mazoezi humsaidia mtu aliyetibiwa maradhi ya saratani ya matiti kupona.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kodi kubwa za simu zinaongeza gharama

WAKATI bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15 ikitarajiwa kuwasililishwa bungeni   kesho, masikio ya Watanzania wengi yameelekezwa huko yakitaka kusikia kama italeta ahueni au itaongeza gharama za maisha. Katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Bidhaa zenye viwango zinaongeza ajira’

IMEELEZWA kuwa faida ya kuzalisha bidhaa zenye viwango vya ubora unaokubalika kwenye masoko ya kimataifa unachangia kutengeneza ajira endelevu kwa watanzania. Akizungumza na Tanzania Daima jijiji Dar es Salaam, Msemaji...

 

9 years ago

Bongo5

Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi

wakazi2

Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.

wakazi2

Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.

“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...

 

10 years ago

GPL

ZITTO SPIDI 120

Na Elvan Stambuli
MWENDO  wa Kiongozi Mkuu wa Alliance for Change and Transparency (ACT) Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe (pichani) umetafsiriwa kuwa ni wa spidi 160 kutokana na kujawa wasikilizaji katika mikutano yake anayofanya kwenye  mikoa mbalimbali nchini.
Zitto ameshafanya mikutano katika Mikoa ya Ruvuma, Njombe, Morogoro, Shinyanga na Mwanza na mikutano yake imekuwa ikihudhuriwa na wananchi wengi, hivyo kutumia...

 

10 years ago

Bongo5

Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya

Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam, Simba spidi 180

Kama ilivyobashiriwa mapema kuwa Yanga, Azam kasi na Simba kisasi, ndivyo matokeo ya mechi za jana za Ligi Kuu yalivyotokea.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa aahidi utendaji spidi 120

MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia anaungwa mkono na vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na NLD, Edward Lowassa amesema endapo atachaguliwa kuwa rais ataunda serikali isiyokuwa ‘nyoronyoro’.

 

9 years ago

Mwananchi

Spidi ya Dk Magufuli inajibu maswali yaliyokosa majibu

Kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli alitamka kuwa mara atakapoapishwa ataanza kazi mara moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani