Lowassa aahidi utendaji spidi 120
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia anaungwa mkono na vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na NLD, Edward Lowassa amesema endapo atachaguliwa kuwa rais ataunda serikali isiyokuwa ‘nyoronyoro’.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*ZQ3BZc3YKiXKr9EKVfDqZ3f4bI9yv9gT4B5w1HZeyC59cyrmIN*9fMzyn3h0W-y4FLlFpJfCsglxZLOxeryCR/Untitled4.jpg?width=650)
ZITTO SPIDI 120
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
MCHEZA KWAO HUTUNZWA; Lowassa atua Arusha na kupata wadhamini 120,335
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akikimbia kuelekea jukwaani kuwashjukuru wananchin na wana CCM wa mkoa wa Arusha walioijitokeza wakati akiomba wadhamini Juni 24, 2015. Mh. Lowassa, alipata jumla ya wadhamini 120,335.(Picha na K-VIS MEDIA).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7mJXaLZ5k5U/VYrM-IE6aXI/AAAAAAAHjfI/oeDy-NNxx0o/s72-c/MMGL0671.jpg)
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO JIJINI ARUSHA LEO, WANACCM 120,335 WAMDHAMINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7mJXaLZ5k5U/VYrM-IE6aXI/AAAAAAAHjfI/oeDy-NNxx0o/s640/MMGL0671.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--PAtZKuwzlM/VYrNNlmhoRI/AAAAAAAHjgQ/QgsMHaYRsL4/s640/MMGL0825.jpg)
9 years ago
Habarileo12 Oct
Lowassa aahidi kuboresha maisha
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa amesisitiza akichaguliwa kuwa rais, ataboresha maisha ya wananchi ikiwemo kuwezesha kupata milo mitatu.
9 years ago
Habarileo24 Sep
Lowassa aahidi soko la korosho
MGOMBEA wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa amesema atalitafutia soko zao la korosho na kuimarisha mfumo wa stakabadhi ghalani kama atachaguliwa kuwa Rais.
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Lowassa aahidi bandari ya kisasa Kigoma
9 years ago
Habarileo02 Oct
Lowassa aahidi kuanzisha benki ya mikopo nafuu
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vya CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa amesema akiteuliwa kuwa rais ataanzisha benki ya maendeleo kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wananchi wa kipato cha chini.
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Lowassa aahidi kuchunguza upya Operesheni Tokomeza
9 years ago
StarTV30 Sep
 Lowassa aahidi kufungua kiwanda cha chai Mponde
Mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amesema wananchi wakimpa ridhaa ya kuwa Rais ndani ya miezi sita atahakikisha kiwanda cha chai cha Mponde kinafunguliwa na kuanza kuwanufaisha wakulima wa zao hilo.
Kiwanda cha chai cha Mponde kilifungwa baada ya wananchi kuingia kwenye mgogoro wa kimaslahi na aliyekuwa mwekezaji wa kiwanda hicho. Taarifa zaidi na mbonea Herman:
Lowassa alikutana na wananchi waliokuwa wakimsubiri ,lakini kabla ya kuzungumza na wananchi...