Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZLS: Katiba ya wananchi imeporwa na watawala

Zanzibar. Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS), Awadh Ali Said amesema Rasimu ya Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba imepora mamlaka ya wananchi kutokana na kitendo cha kubadilisha vifungu muhimu ikiwamo mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Akizungumza jana na gazeti hili mjini Zanzibar, Awadh alisema kitendo cha kubadilisha mfumo wa Muungano wa serikali tatu kama ilivyokuwa imependekezwa na rasimu ya awali ya Jaji Joseph Warioba ni kuvunja msingi wa nyumbani na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lini watawala watakuwa wasikivu kwa wananchi?

Msimamo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wa kusitisha kwa muda usiojulikana kufanyika kwa Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu, umepokelewa kwa hisia tofauti miongoni mwa Watanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzaha watawala Bunge la Katiba

 Vijembe na mzaha vimetawala kwenye Bunge la Katiba mjini Dodoma katika hatua ya upigaji wa kura kuanzia sura ya 11 hadi 19 na ibara zake kuanzia 158 hadi 289.

 

11 years ago

Michuzi

utulivu watawala bunge la katiba mjini dodoma leo - kwa mara ya kwanza toka lizinduliwe

 Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu Mhe.Samia Suluhu akiwa anafuatilia mchango wa Mhe.William Lukuvi kwa makini. Hali ya hewa yarejea kuwa ya kawaida bunge maalum la katiba mjini Dodoma leo   Hali ya Ukumbi Ulivyo kuwa Leo ambapo  Wabunge wakifuatilia jambo kwa makini na ustaarabu wa hali ya juu.  Wabunge wakifuatilia jambo kwa makini.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )

1Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Bara, Magdalena Sakaya, akizungumza na waandishishi wa habari, Dar es Salaam leo kuhusu masuala ya kuwa katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo na kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Habari wa CUF Taifa, Abdul Kambaya.2Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.

 

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: ‘Wananchi ndiyo waamuzi wa Katiba’

>Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amesema wananchi ndiyo waamuzi wa mwisho juu ya Katiba itakayopendekezwa bungeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba ni mali ya wananchi, waielewe

Historia ya Katiba ya Waingereza ndiyo chimbuko la michakato ya Katiba maeneo mengi ulimwenguni, na hasa kwa makoloni ya zamani ya Kiingereza, Tanzania ikiwamo. Ndiyo historia tuliyorithi baada ya uhuru toka mikononi mwa wakoloni wa Tanganyika ya wakati ule.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba ni mali ya wananchi, waielewe - 3

Tunaendelea na mfululizo wa makala haya kuhusu Katiba Inayopendekezwa baada ya kumaliza sehemu ya pili wiki iliyopita.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Wananchi ikataeni Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha Katiba mpya iliyopendekezwa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewasihi Watanzania kuikataa punde itakapopelekwa kwao kwa ajili ya kupigiwa kura. Kimesema,...

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi watengwa Katiba Mpya

Bunge

Bunge

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

NI siku ya 14 sasa tangu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walipokutana kwa awamu ya pili Agosti mwaka huu, ambapo pamoja na mambo mengine walijadili mabadiliko ya kanuni za Bunge hilo kabla ya kuanza kupitia sura 15 za Rasimu ya Katiba.

Hadi sasa baadhi ya kamati zimeshamaliza kazi ya kupitia sura zote hizo ambazo zinakamilisha sura 17 za rasimu hiyo, ikiwa ni baada ya sura ya kwanza na ile ya sita kujadiliwa kwenye awamu ya kwanza ya Bunge hilo.

Wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani