Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


24 wahofiwa kuaga dunia Zambia

wanafunzi 21 na walimu 3 wanahofiwa kuaga dunia baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama kwenye ziwa Kariba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Alioa siku 3 tu kabla ya kuaga dunia

Kijana amemuoa mpenzi wake siku tatu tu kabla yake kuaga dunia kutokana na Saratani ya damu Lukaemia.

 

5 years ago

CCM Blog

KUAGA DUNIA RAMADHAN ABDALLAH; NEMBO YA JIHADI YA PALESTINA

Kuaga dunia Ramadhan Abdallah; nembo ya Jihadi ya PalestinaRamadhan Abdallah Shalah, Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 62 kutokana na maradhi ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.Palestina haina upungufu wa shakhsia wabunifu, wema, waasisi na wanajihadi katika historia ya nchi hiyo. Mmoja wa shakhsia hao ni Dakta Ramadhan Abdallah Shalah ambaye amekuwa na nafasi muhimu katika mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel unaoikalia kwa mabavu Quds Tukufu.Dakta Ramadhan Abdallah...

 

5 years ago

BBCSwahili

Du Wei: Balozi wa China Israel anayedaiwa kuaga dunia akiwa usingizini

Balozi huyo alidaiwa kumshambulia waziri wa kigeni nchini Marekani Pompeo kuhusu mlipuko wa corona alipozuri Israel siku ya Ijumaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Zambia Michael Sata aaga dunia

Rais wa zambia Michael sata ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 77

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Michael Sata wa Zambia aaga dunia

Rais wa Zambia Michael Sata amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 77. Rais Sata alikuwa akitibiwa jijini London.

 

10 years ago

GPL

DEREVA ZIETLOF KUVUNJA REKODI 3 ZA DUNIA, KUCHANGIA VIJIJI TANZANIA, ZAMBIA

Rainer Zietlof akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani). …Akisisitiza jambo kuhusu safari yake. Dereva wa gari akionyesha sehemu ya ndani ya  nyuma ya gari hilo.…

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA

Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mhe Balozi Grace Mujuma tarehe 2 Julai hadi 6 Julai 2014 alifanya ziara ya kikazi ya siku nne jimbo la Copperbelt mji wa Ndola. Katika ziara hiyo, Mhe Balozi aliambatana na Afisa Ubalozi Richard M. Lupembe. Sambamba na ziara hiyo, tarehe 6 Julai 2014 Mhe Balozi alikutana na kufanya mkutano na Watanzania ambao ni wajasiriamali wadogo wadogo wanaoishi Mjini Ndola Zambia.
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...

 

10 years ago

Vijimambo

Meli yazama, 13 wahofiwa kufa

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma, Jafari Mohamed.
Watu 13 wanasadikiwa kufa maji katika Ziwa Tanganyika, baada ya meli ya Mv Mbaga kuzama katika ziwa hilo usiku wa kuamkia Jumapili.

Tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Kala, kilichopo mkoani Rukwa wakati meli hiyo ikitokea Mpulungu, Zambia kuelekea Burundi.

Mwakilishi wa meli hiyo mkoani Kigoma, Juliana Zakenda, alisema meli hiyo ilikuwa imebeba wafanyakazi 14 na tani 437 za mahindi.

Alisema kati ya wafanyakazi hao, ni mmoja tu alieokolewa ...

 

11 years ago

Mwananchi

Wawili wahofiwa kufa Tamasha la E. FM

Tamasha la uzinduzi wa kituo cha redio cha E.FM lililofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga juzi lilikumbwa na vurugu kubwa na inasadikiwa watu wawili walipoteza maisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani