24 wahofiwa kuaga dunia Zambia
wanafunzi 21 na walimu 3 wanahofiwa kuaga dunia baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama kwenye ziwa Kariba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Alioa siku 3 tu kabla ya kuaga dunia
Kijana amemuoa mpenzi wake siku tatu tu kabla yake kuaga dunia kutokana na Saratani ya damu Lukaemia.
5 years ago
CCM Blog09 Jun
KUAGA DUNIA RAMADHAN ABDALLAH; NEMBO YA JIHADI YA PALESTINA
![Kuaga dunia Ramadhan Abdallah; nembo ya Jihadi ya Palestina](https://media.parstoday.com/image/4bmu7adab3a70bn9dk_800C450.jpg)
5 years ago
BBCSwahili17 May
Du Wei: Balozi wa China Israel anayedaiwa kuaga dunia akiwa usingizini
Balozi huyo alidaiwa kumshambulia waziri wa kigeni nchini Marekani Pompeo kuhusu mlipuko wa corona alipozuri Israel siku ya Ijumaa.
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Rais wa Zambia Michael Sata aaga dunia
Rais wa zambia Michael sata ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 77
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Rais Michael Sata wa Zambia aaga dunia
Rais wa Zambia Michael Sata amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 77. Rais Sata alikuwa akitibiwa jijini London.
10 years ago
GPLDEREVA ZIETLOF KUVUNJA REKODI 3 ZA DUNIA, KUCHANGIA VIJIJI TANZANIA, ZAMBIA
Rainer Zietlof akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani). …Akisisitiza jambo kuhusu safari yake. Dereva wa gari akionyesha sehemu ya ndani ya  nyuma ya gari hilo.…
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iMzXMcHxuWs/U7uLnf3zC6I/AAAAAAAFw_Y/TP0FNkaGr8Q/s72-c/image.jpeg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA
Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mhe Balozi Grace Mujuma tarehe 2 Julai hadi 6 Julai 2014 alifanya ziara ya kikazi ya siku nne jimbo la Copperbelt mji wa Ndola. Katika ziara hiyo, Mhe Balozi aliambatana na Afisa Ubalozi Richard M. Lupembe. Sambamba na ziara hiyo, tarehe 6 Julai 2014 Mhe Balozi alikutana na kufanya mkutano na Watanzania ambao ni wajasiriamali wadogo wadogo wanaoishi Mjini Ndola Zambia.
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...
10 years ago
Vijimambo15 Jan
Meli yazama, 13 wahofiwa kufa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/jafary-15Jan2015.jpg)
Watu 13 wanasadikiwa kufa maji katika Ziwa Tanganyika, baada ya meli ya Mv Mbaga kuzama katika ziwa hilo usiku wa kuamkia Jumapili.
Tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Kala, kilichopo mkoani Rukwa wakati meli hiyo ikitokea Mpulungu, Zambia kuelekea Burundi.
Mwakilishi wa meli hiyo mkoani Kigoma, Juliana Zakenda, alisema meli hiyo ilikuwa imebeba wafanyakazi 14 na tani 437 za mahindi.
Alisema kati ya wafanyakazi hao, ni mmoja tu alieokolewa ...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Wawili wahofiwa kufa Tamasha la E. FM
Tamasha la uzinduzi wa kituo cha redio cha E.FM lililofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga juzi lilikumbwa na vurugu kubwa na inasadikiwa watu wawili walipoteza maisha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania