Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEREVA ZIETLOF KUVUNJA REKODI 3 ZA DUNIA, KUCHANGIA VIJIJI TANZANIA, ZAMBIA

Rainer Zietlof akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani). …Akisisitiza jambo kuhusu safari yake. Dereva wa gari akionyesha sehemu ya ndani ya  nyuma ya gari hilo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ZIETLOF AVUNJA REKODI NYINGINE YA DUNIA AKIWA TANZANIA



 Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof akiwa na Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh(wa pili toka kulia)wakipata picha ya pamoja na wanahabari Meneja Mkuu wa Alliance Autos Wayne Mcintosh(kushoto) Akipata picha na Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof

 Meneja Masoko wa Alliance Autos Tharaia Ahmed(kushoto)akipata picha na Dereva Rainer Zietlof


Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh akisoma cheti cha rekodi ya dunia alichopewa dereva toka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Rainer Zietlow wakaribia kuvunja rekodi ya dunia

Dereva kutoka  nchini Ujerumani Rainer Zietlow (katikati) akizungumza na wanahabari kuhusiana na rekodi yake ya kusafiri umbali mrefu Duniani mara baada ya kuwasili nchini Tanzania kwenye Ofisi za Alliance Autos, Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors,  Bw.Wayne McIntosh na kushoto ni Meneja Masoko wa CFAO Motors, Tharaia Ahmed.

Na Mwandishi Wetu

DEREVA raia wa Ujerumani Rainer Zietlof yuko mbioni kuvunja rekodi ya dunia ya kuendesha gari kwa kilometa 17,000 kutoka Ulaya...

 

10 years ago

GPL

ADRIANNE LEWIS; MWANADADA MWENYE ULIMI MREFU ANAYETAKA KUVUNJA REKODI YA DUNIA

Adrianne Lewis akipima ulimi wake wenye inchi nne. MWANADADA Adrianne Lewis mwenye umri wa miaka 18 kutoka Michigan anafukuzia rekodi ya dunia kwa kuwa mtu mwenye ulimi mrefu kuliko wote. Adrianne mwenye ulimi wa inchi nne anataka kuvunja rekodi inayoshikiliwa na Nick Stoeberl mwenye ulimi wa inchi 3.9. Dada huyo ana uwezo wa kugusa pua yake, kidevu chake, jicho na nyusi zake kwa kutumia ulimi huo. Adrianne ana chaneli yake...

 

9 years ago

Habarileo

Mtanzania apania kuvunja rekodi

MTANZANIA Julio Ludago amesema anatarajia kupanda mlima Kilimanjaro Septemba 27, mwaka huu na kuvunja rekodi ya dunia iliyowekwa na raia wa Uswisi, Karl Egloff mwaka jana kwa kupanda kwa haraka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yajaribu kuvunja rekodi ya kusoma

Mitt Romney, aliyeshindwa na rais Obama katika uchaguzi wa mwaka 2012 ameamua kutowania tena wadhfa huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kasi ya Ronaldo yakaribia kuvunja rekodi ya Raul

Uswisi. Tofauti na mechi za Jumanne zilizokuwa na mabao mengi kupindukia, usiku wa Jumatano ulishuhudia matokeo ya kustaajabisha.

 

9 years ago

Mtanzania

Fid Q atamani kuvunja rekodi ya mtoto wa Diamond

fid-q-webNA VICTORIA PATRIC (TSJ)

MSANII wa hip hop, Farid Kubanda (Fid Q), ametamani kuwa na wafuatiliaji wengi katika akaunti yake mpya kama atashindwa kuirudisha akaunti yake ya sasa iliyozuiwa na maharamia wa mtandao.

Akaunti ya msanii huyo kwa sasa inasomeka kwa jina la mrembo wa Tanzania 2007, Wema Sepetu, jambo ambalo linachanganya watu wengi.

“Hawa jamaa wanakatisha tamaa maana mimi nilikuwa natumia mtandao wangu kwa kujitangaza, kutangaza kazi zangu mpya na pia kuwasiliana na wadau wangu...

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha la 'Handeni Kwetu' lapania kuvunja rekodi

MRATIBU Mkuu wa Tamasha la Utamaduni Handeni, maarufu kama ‘Handeni Kwetu’, Kambi Mbwana, ameapa kuhakikisha kuwa tamasha lao msimu wa 2014 linakuwa la aina yake na kuvunja rekodi ya mwaka jana lilipofanyika kwa mara ya kwanza wilayani Handeni, mkoani Tanga.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mbwana alisema kuwa hiyo ni kutokana na kutamani kushirikisha wasanii wengi kutoka Tanga na Tanzania kwa ujumla.
Alisema kwamba mwaka jana wasanii zaidi ya 200 walionyesha uwezo wao kutoka kwa vikundi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wimbo mpya wa Adele wazidi kuvunja rekodi

Wimbo mpya wa mwanamuziki Adele umeendelea kuvunja rekodi, siku chache baada ya kuzinduliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani