Wimbo mpya wa Adele wazidi kuvunja rekodi
Wimbo mpya wa mwanamuziki Adele umeendelea kuvunja rekodi, siku chache baada ya kuzinduliwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Oct
Adele avunja rekodi ya Youtube kwa wimbo wake mpya ‘Hello’ kupata views milioni 25 siku ya kwanza
9 years ago
Bongo517 Nov
Video: Adele atoa wimbo mpya baada ya ‘Hello’ – When We Were Young
![Adele new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-new-300x194.jpg)
Wakati bado hit single yake ‘Hello’ inaendelea kufanya vizuri na kuvunja rekodi, na zikiwa zimebaki siku nne kabla album ya tatu ya Adele iitwayo ‘25’ itoke, muimbaji huyo wa Uingereza ametambulisha wimbo mpya ‘When We Were Young’ wakati wa mahojiano aliyofanya na 60 Minutes Australia. ‘25’ inatarajiwa kutoka Almahisi hii November 20.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube...
9 years ago
Bongo507 Nov
Video: Joe Thomas afanya cover ya wimbo mpya wa Adele ‘Hello’
![Joe](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Joe-300x194.jpg)
Inawezekana umeshakutana na ‘cover’ kadhaa za hit song mpya ya Adele ‘Hello’, ambayo imevunja rekodi mbalimbali toka ilipotoka October 23. Mwimbaji mkongwe wa RnB Joe Thomas wa Marekani naye amefanya cover ya wimbo huo, isikilize hapa.
Maana ya ‘cover song’:
In popular music, a cover version or cover song, or simply cover, is a new performance or recording of a previously recorded, commercially released song by someone other than the original artist or composer.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
Bongo503 Nov
‘Hello’ ya Adele yavunja rekodi nyingine ya Billboard
![adele-25-cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-25-cover-94x94.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Sep
Mtanzania apania kuvunja rekodi
MTANZANIA Julio Ludago amesema anatarajia kupanda mlima Kilimanjaro Septemba 27, mwaka huu na kuvunja rekodi ya dunia iliyowekwa na raia wa Uswisi, Karl Egloff mwaka jana kwa kupanda kwa haraka.
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Kenya yajaribu kuvunja rekodi ya kusoma
9 years ago
Bongo530 Nov
Album ya Adele yavunja rekodi Marekani, yauza nakala milioni 3.38 katika wiki ya kwanza
![adele-new-album](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-new-album-300x194.jpg)
Album mpya ya Adele, 25 imevunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza nchini Marekani pekee, kwa mujibu wa taarifa za Nielsen Music.
Staa huyo wa Uingereza amevunja rekodi hiyo tangu Nielsen ianze kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991. 25 iliyotoka Novemba 20 imekuwa pia album ya kwanza kuuza nakala nyingi zaidi katika wiki ya kwanza.
Kwa Uingereza, 25 imevunja pia rekodi kwa kuuza nakala 800,000 katika wiki yake ya kwanza.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Kasi ya Ronaldo yakaribia kuvunja rekodi ya Raul
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gzhegbA0bcQ/VA1x4X--efI/AAAAAAAGhqM/8rt8LqhT0xM/s72-c/Handeniii%2B(1).jpg)
Tamasha la 'Handeni Kwetu' lapania kuvunja rekodi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gzhegbA0bcQ/VA1x4X--efI/AAAAAAAGhqM/8rt8LqhT0xM/s1600/Handeniii%2B(1).jpg)
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mbwana alisema kuwa hiyo ni kutokana na kutamani kushirikisha wasanii wengi kutoka Tanga na Tanzania kwa ujumla.
Alisema kwamba mwaka jana wasanii zaidi ya 200 walionyesha uwezo wao kutoka kwa vikundi...