Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ADRIANNE LEWIS; MWANADADA MWENYE ULIMI MREFU ANAYETAKA KUVUNJA REKODI YA DUNIA

Adrianne Lewis akipima ulimi wake wenye inchi nne. MWANADADA Adrianne Lewis mwenye umri wa miaka 18 kutoka Michigan anafukuzia rekodi ya dunia kwa kuwa mtu mwenye ulimi mrefu kuliko wote. Adrianne mwenye ulimi wa inchi nne anataka kuvunja rekodi inayoshikiliwa na Nick Stoeberl mwenye ulimi wa inchi 3.9. Dada huyo ana uwezo wa kugusa pua yake, kidevu chake, jicho na nyusi zake kwa kutumia ulimi huo. Adrianne ana chaneli yake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Rainer Zietlow wakaribia kuvunja rekodi ya dunia

Dereva kutoka  nchini Ujerumani Rainer Zietlow (katikati) akizungumza na wanahabari kuhusiana na rekodi yake ya kusafiri umbali mrefu Duniani mara baada ya kuwasili nchini Tanzania kwenye Ofisi za Alliance Autos, Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors,  Bw.Wayne McIntosh na kushoto ni Meneja Masoko wa CFAO Motors, Tharaia Ahmed.

Na Mwandishi Wetu

DEREVA raia wa Ujerumani Rainer Zietlof yuko mbioni kuvunja rekodi ya dunia ya kuendesha gari kwa kilometa 17,000 kutoka Ulaya...

 

10 years ago

GPL

DEREVA ZIETLOF KUVUNJA REKODI 3 ZA DUNIA, KUCHANGIA VIJIJI TANZANIA, ZAMBIA

Rainer Zietlof akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani). …Akisisitiza jambo kuhusu safari yake. Dereva wa gari akionyesha sehemu ya ndani ya  nyuma ya gari hilo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe: Hakuna aliyemtusi Mwalimu Nyerere, wala anayetaka kuvunja Muungano

Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), Freeman Mbowe, amesema uamuzi wao wa kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge ni sahihi kwa kuwa ni njia ambayo imeonekana kwao kuwa inafaa kudai haki ya Watanzania wote.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamuziki mwanadada Mtanzania mwenye asili ya Italia kutumbuiza hoteli ya Mediterraneo Jumamosi hii jijini Dar

Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.

Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.

3

Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.

Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMUZIKI MWANADADA MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI JIJINI DAR ES SALAAM


Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
 Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.
 Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur Lusuf...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu

Mechi ya Mchezo wa tenis kati ya raia wa Argentina Leonardo Mayer na Joao Souza wa Brazili imevunja rekodi ya mchezo huo hapo jana.

 

9 years ago

Habarileo

Mtanzania apania kuvunja rekodi

MTANZANIA Julio Ludago amesema anatarajia kupanda mlima Kilimanjaro Septemba 27, mwaka huu na kuvunja rekodi ya dunia iliyowekwa na raia wa Uswisi, Karl Egloff mwaka jana kwa kupanda kwa haraka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yajaribu kuvunja rekodi ya kusoma

Mitt Romney, aliyeshindwa na rais Obama katika uchaguzi wa mwaka 2012 ameamua kutowania tena wadhfa huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kasi ya Ronaldo yakaribia kuvunja rekodi ya Raul

Uswisi. Tofauti na mechi za Jumanne zilizokuwa na mabao mengi kupindukia, usiku wa Jumatano ulishuhudia matokeo ya kustaajabisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani