Alioa siku 3 tu kabla ya kuaga dunia
Kijana amemuoa mpenzi wake siku tatu tu kabla yake kuaga dunia kutokana na Saratani ya damu Lukaemia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
24 wahofiwa kuaga dunia Zambia
wanafunzi 21 na walimu 3 wanahofiwa kuaga dunia baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama kwenye ziwa Kariba.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s72-c/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s1600/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS
RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER
CASH BAR
...
5 years ago
CCM Blog09 Jun
KUAGA DUNIA RAMADHAN ABDALLAH; NEMBO YA JIHADI YA PALESTINA
![Kuaga dunia Ramadhan Abdallah; nembo ya Jihadi ya Palestina](https://media.parstoday.com/image/4bmu7adab3a70bn9dk_800C450.jpg)
5 years ago
BBCSwahili17 May
Du Wei: Balozi wa China Israel anayedaiwa kuaga dunia akiwa usingizini
Balozi huyo alidaiwa kumshambulia waziri wa kigeni nchini Marekani Pompeo kuhusu mlipuko wa corona alipozuri Israel siku ya Ijumaa.
10 years ago
Vijimambo08 Nov
DENTI 'FORM FOUR' ALIYEFARIKI DUNIA SAA 3 KABLA YA MTIHANI
![](http://api.ning.com/files/vlkw1OAAX7mNpjirwQoVpEqf80cXJh8OpVnXSiViAfP8y2OQfagnngKRBvZBXZQDr6CaFcNLKcPm4TG4Hytt8v7ud3kWL7Sq/5.jpg)
Stori: Mwandishi wetu GPL
NI SIMANZI! Msichana Yunis Festo aliyekuwa na umri wa miaka 18 akisoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Simba wa Yuda iliyoko katika Kijiji cha Bulima, wilaya ya Busega mkoani Simiyu, alifariki dunia ghafla, saa takriban tatu tu kabla ya kuanza mitihani ya kumaliza elimu ya sekondari, alfajiri ya Jumatatu wiki hii.
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili akiwa Busega, mmoja wa walimu wa shule hiyo, Damian Kageba Lupimo alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTrcHadG1w6kWZZE75AnscgoTydi3WnEi7KWkj4LIQH76ubueVSNnCjb7j5l0cMsO4A-vAYK865mvBAHbgueD4q/BiHarusi.jpg?width=650)
BI. HARUSI ATOWEKA SIKU 4 KABLA YA NDOA
Deogratius mongela
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa’ (28) mkazi wa Zogowale, Visiga mkoani Pwani, alijikuta katika wakati mgumu baada ya mwanamke aliyetaraji kumuoa, aliyetajwa kwa jina moja la Manka (20) kumzimia simu na kuingia mitini siku chache kabla ya ndoa yao, tukio lililotokea Mei 23, mwaka huu. Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa' anayedaiwa kutorokwa na...
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
2 wauawa siku 1 kabla ya uchaguzi Burundi
Watu 2 wameuawa Burundi katika mashambulizi ya gruneti na risasi katika ngome za upinzani katika mji wa Bujumbura siku moja kabla ya uchaguzi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS2zrMDy-pa7J2EMCD5MF9MI3Rlx-nl7Tjis69f1c3b2BLjOIhNYSMVD1IfPs8-L7TGSOzl-0CT2i*NGOXv0h3BE/MJAMZITO.jpg?width=650)
AJIUZA SIKU TATU KABLA YA KUJIFUNGUA!
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
YELEUUUWI! Mwanamke mjamzito aliyejitambulisha kwa jina moja la Hamisa amenaswa laivu na ‘makachero’ wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, akijiuza huku akiwa na ujauzito wa miezi nane na siku 27, zikiwa zimesalia siku tatu afikishe miezi tisa tayari kwa kujifungua. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri wiki iliyopita usiku wa manane Mbagala-Zakhem, Dar,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfAKZ51fEXXMh1y3IoC9Vcqo4WtVx9nvp*9D809QmTAKvPwf6eKnwd4IosDCyT8s4FKkA8rUVajJ3EeKwj-zQYW3/BACKIJUMAA.jpg)
SIKU MOJA KABLA YA NDOA BI HARUSI AGOMA KUOLEWA!
Chande Abdallah na Deogratius Mongela
KIMENUKA! Ikiwa ni siku moja tu kabla ya kufungwa kwa ndoa kati ya Zuhura Omari na Abdallah Salehe, katika hali isiyotarajiwa, mke mtarajiwa amekataa kushiriki tendo hilo la kheri licha ya taratibu zote kukamilika na kusababisha tafrani kubwa huko Buguruni Kwa Mnyamani jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita. Ndugu wakiwa hawana la kufanya baada ya binti huyo kugoma kuolewa. Tukio hilo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania