Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alioa siku 3 tu kabla ya kuaga dunia

Kijana amemuoa mpenzi wake siku tatu tu kabla yake kuaga dunia kutokana na Saratani ya damu Lukaemia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

24 wahofiwa kuaga dunia Zambia

wanafunzi 21 na walimu 3 wanahofiwa kuaga dunia baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama kwenye ziwa Kariba.

 

10 years ago

Vijimambo

ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100

   
                                                  3 COURSE DINNER  & LIVE SHOW
                                                 LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
                                                 LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS 
                                                  RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
                                                  PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER 
                                                                   CASH BAR
                             ...

 

5 years ago

CCM Blog

KUAGA DUNIA RAMADHAN ABDALLAH; NEMBO YA JIHADI YA PALESTINA

Kuaga dunia Ramadhan Abdallah; nembo ya Jihadi ya PalestinaRamadhan Abdallah Shalah, Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 62 kutokana na maradhi ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.Palestina haina upungufu wa shakhsia wabunifu, wema, waasisi na wanajihadi katika historia ya nchi hiyo. Mmoja wa shakhsia hao ni Dakta Ramadhan Abdallah Shalah ambaye amekuwa na nafasi muhimu katika mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel unaoikalia kwa mabavu Quds Tukufu.Dakta Ramadhan Abdallah...

 

5 years ago

BBCSwahili

Du Wei: Balozi wa China Israel anayedaiwa kuaga dunia akiwa usingizini

Balozi huyo alidaiwa kumshambulia waziri wa kigeni nchini Marekani Pompeo kuhusu mlipuko wa corona alipozuri Israel siku ya Ijumaa.

 

10 years ago

Vijimambo

DENTI 'FORM FOUR' ALIYEFARIKI DUNIA SAA 3 KABLA YA MTIHANI

Yunis Festo enzi za uhai wake.

Stori: Mwandishi wetu GPL

NI SIMANZI! Msichana Yunis Festo aliyekuwa na umri wa miaka 18 akisoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Simba wa Yuda iliyoko katika Kijiji cha Bulima, wilaya ya Busega mkoani Simiyu, alifariki dunia ghafla, saa takriban tatu tu kabla ya kuanza mitihani ya kumaliza elimu ya sekondari, alfajiri ya Jumatatu wiki hii.

Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili akiwa Busega, mmoja wa walimu wa shule hiyo, Damian Kageba Lupimo alisema...

 

10 years ago

GPL

BI. HARUSI ATOWEKA SIKU 4 KABLA YA NDOA

Deogratius mongela
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa’ (28) mkazi wa Zogowale, Visiga mkoani Pwani, alijikuta katika wakati mgumu baada ya mwanamke aliyetaraji kumuoa, aliyetajwa kwa jina moja la Manka (20) kumzimia simu na kuingia mitini siku chache kabla ya ndoa yao, tukio lililotokea Mei 23, mwaka huu. Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa' anayedaiwa kutorokwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

2 wauawa siku 1 kabla ya uchaguzi Burundi

Watu 2 wameuawa Burundi katika mashambulizi ya gruneti na risasi katika ngome za upinzani katika mji wa Bujumbura siku moja kabla ya uchaguzi

 

11 years ago

GPL

AJIUZA SIKU TATU KABLA YA KUJIFUNGUA!

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
YELEUUUWI! Mwanamke mjamzito aliyejitambulisha kwa jina moja la Hamisa amenaswa laivu na ‘makachero’ wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers,  akijiuza huku akiwa na ujauzito wa miezi nane na siku 27, zikiwa zimesalia siku tatu afikishe miezi tisa tayari kwa kujifungua. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri wiki iliyopita usiku wa manane Mbagala-Zakhem, Dar,...

 

10 years ago

GPL

SIKU MOJA KABLA YA NDOA BI HARUSI AGOMA KUOLEWA!

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
KIMENUKA! Ikiwa ni siku moja tu kabla ya kufungwa kwa ndoa kati ya Zuhura Omari na Abdallah Salehe, katika hali isiyotarajiwa, mke mtarajiwa amekataa kushiriki tendo hilo la kheri licha ya taratibu zote kukamilika na kusababisha tafrani kubwa huko Buguruni Kwa Mnyamani jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita. Ndugu wakiwa hawana la kufanya baada ya binti huyo kugoma kuolewa. Tukio hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani