Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUAGA DUNIA RAMADHAN ABDALLAH; NEMBO YA JIHADI YA PALESTINA

Kuaga dunia Ramadhan Abdallah; nembo ya Jihadi ya PalestinaRamadhan Abdallah Shalah, Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 62 kutokana na maradhi ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.Palestina haina upungufu wa shakhsia wabunifu, wema, waasisi na wanajihadi katika historia ya nchi hiyo. Mmoja wa shakhsia hao ni Dakta Ramadhan Abdallah Shalah ambaye amekuwa na nafasi muhimu katika mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel unaoikalia kwa mabavu Quds Tukufu.Dakta Ramadhan Abdallah...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

WAZIRI ABDALLAH KIGODA AMEFARIKI DUNIA

Waziri wa viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda (Mb) enzi za uhai wake.

 

11 years ago

Michuzi

DR LIKY ABDALLAH AIBUKIA MICHUZI TV KUCHAMBUA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

Ankal akiwa na mchambuzi maarufu nchini wa mambo ya soka Dr Liky Abdallah wakati wakiandaa kipindi maalumu ya Kombe la Dunia 2014 ambacho kitarushwa Michuzi TV hivi karibuni. Hivyo mdau kaa chonjo usikilize uchambuzi wa uhakika toka kwa mtaalamu huyu.

 

10 years ago

BBCSwahili

24 wahofiwa kuaga dunia Zambia

wanafunzi 21 na walimu 3 wanahofiwa kuaga dunia baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama kwenye ziwa Kariba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alioa siku 3 tu kabla ya kuaga dunia

Kijana amemuoa mpenzi wake siku tatu tu kabla yake kuaga dunia kutokana na Saratani ya damu Lukaemia.

 

11 years ago

Michuzi

Kuelekea Kombe la Dunia...Mahojiano na Halifa Ramadhan kutoka Brazil


Photo Credits: EyesOnNews.com  Siku chache kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la Soka huko Brazil, mambo mengi yamekuwa yakizungumzwa kuhusu maandalizi ya michuano hiyo. Kuna malalamiko na maandamano nchini humo ambavyo kwa hakika vinaleta taswira isiyo njema kuhusu maandalizi ya michuano hiyo Kutaka kujua mengi, Kwanza Production imefanya mahojiano na Halifa Ramadhan. Mtanzania mwenye maskani yake nchini Brazil ambaye amezungumzia mengi kuhusu maandalizi ya fainali za...

 

9 years ago

Dewji Blog

UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina

 Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo  ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...

 

5 years ago

BBCSwahili

Du Wei: Balozi wa China Israel anayedaiwa kuaga dunia akiwa usingizini

Balozi huyo alidaiwa kumshambulia waziri wa kigeni nchini Marekani Pompeo kuhusu mlipuko wa corona alipozuri Israel siku ya Ijumaa.

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA ATOA POLE KWA FAMILIA 21 AMBAZO NDUGU ZAO WAMEFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI MKURANGA

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ametoa pole kwa familia 21 zilizopata msiba uliotokana na ajali ya basi iliyotokea maeneo ya kilimahewa wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kuwataka wananchi kuchukua taadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.                                               Akizungumza na wanafamilia hao aliowatembelea kuwapa pole katika kata saba za Wilaya ya Mkuranga, Ulega aliwapatia kiasi zaidi ya Sh.milioni moja na unga kwa familia hizo za marahemu.                  ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani