27 zaidi wasimamishwa TRA
*Watupwa korokoroni, polisi wawachunguza
*Bakhresa na wenzake waanza kulipa kodi
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) wiki hii imewasimamisha kazi watumishi wake 27 wakituhumiwa kuhusika na upotevu na makontena 349 yaliyoisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 80.
Kusimamishwa kwa wafanyakazi hao kunafanya jumla ya waliosimamishwa kwa kashfa hiyo kufikia 35 huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanywa na makachero wa polisi.
Taarifa ya kusimamishwa kwa watumishi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr0EPiTBm9k/VlmJ9mCTGBI/AAAAAAAIIvM/N95av0kMIbE/s72-c/kassim.jpg)
NEWS ALERT: WATUMISHI WENGINE WATATU WASIMAMISHWA KAZI TRA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr0EPiTBm9k/VlmJ9mCTGBI/AAAAAAAIIvM/N95av0kMIbE/s400/kassim.jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo (Jumamosi, Novemba 28, 2015), na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ili kupisha uchunguzi zaidi wa tuhuma zinazowakabili. Kama ilivyo kwa wenzao sita waliosimamishwa kazi jana (akiwemo aliyekuwa Kamishna Mkuu), nao pia hawaruhusiwi kusafiri kwenda nje...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-veMQzUQGfNI/VmGZf2C1EtI/AAAAAAAIKNg/Nt_c6PbPUn8/s72-c/IMG_6470.jpg)
WAFANYAKAZI 35 WASIMAMISHWA KAZI TRA,KAMPUNI 43 ZABAINIKA KUKWEPA KODI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-veMQzUQGfNI/VmGZf2C1EtI/AAAAAAAIKNg/Nt_c6PbPUn8/s640/IMG_6470.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pkT1Xz1OwcU/VmGZf0-X4gI/AAAAAAAIKNk/yLOGj5Pc8LA/s640/IMG_6436.jpg)
Na ChalilaKibuda,Globu ya Jamii
BAADA ya Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa kufanya ziara ya kushitukiza katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kubaini...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-78vlpjPNxU4/VkVzDLN4hkI/AAAAAAAAWbM/g8T3cvA-Uog/s72-c/IMG_8406%2B%25281024x683%2529.jpg)
WATUMISHI WANNE HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI WASIMAMISHWA KAZI NI BAADA YA KUBAINIKA KUKWAPUA ZAIDI YA MILIONI 70
HALMASHAURI ya wilaya ya Hai,mkoani Kilimanjaro, imewasimamisha kazi watumishi wake wanne kwa tuhuma za kughushi hati za mishahara na kughushi nyaraka zilizofanikisha kuchukua jumla ya kiasi cha sh Mil 73.4 zikiwemo fedha za malipo ya muda wa kazi wa ziada kwa madaktari na wauguzi wa Hospitali teule ya Machame.
Tuhuma hizo pia zina mtaja Mweka hazina wa Hosptali hiyo anayedaiwa kushirikiana na watumishi wa halmashauri hiyo kufanya ubadhirifu...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--Dj5HfdeKcc/Vgql3uJSOBI/AAAAAAAADQ4/oTGQQqcHYIk/s72-c/OTH_5221.jpg)
MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA ZAIDI YA MARA NNE WAKATI AKIWA SAFARINI KUTOKEA JIJINI TANGA KUELEKA DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/--Dj5HfdeKcc/Vgql3uJSOBI/AAAAAAAADQ4/oTGQQqcHYIk/s640/OTH_5221.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OqfMEel9GOo/Vgql4GrUuKI/AAAAAAAADRE/r99H3hZWOgM/s640/OTH_5226.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R_vGc-QsXzs/VSfYsyMbBrI/AAAAAAAHQIA/-wV8LBPhP90/s72-c/unnamedM.jpg)
TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...
10 years ago
Mtanzania09 Apr
Vigogo Rubada wasimamishwa
![Steven Wassira](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Stephen-Wassira-300x180.jpg)
Waziri wa kilimo, chakula na ushirika Steven Wassira
Na Arodia Peter, Dar es Salaam
SERIKALI imewasimamisha kazi vigogo watatu wa Mamlaka ya Ustawishaji Bonde la Mto Rufiji (Rubada) kwa muda usiofahamika.
Vigogo hao wamesimamishwa kazi baada ya kutuhumiwa kwa ubadhilifu wa zaidi ya Sh bilioni 2.3.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliwataja vigogo hao ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Aloyce Masanja, Mkurugenzi wa Mipango...
9 years ago
Habarileo06 Dec
Watumishi 2 Manispaa wasimamishwa
OFISI ya Waziri Mkuu , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeagiza watumishi wawili waandamizi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi kuhusu utendaji wao wa kazi.
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Watumishi wasimamishwa kazi Dodoma
Ramadhan Hassan, Dodoma
SERIKALI imewasimamisha kazi maofisa biashara wawili wa Mkoa wa Dodoma kutokana na kuchelewesha utoaji wa leseni za biashara.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka ofisi ya Rais (TAMISEMI), Rebbeca Kwandu, aliwataja waliosimamishwa kazi kuwa ni Elias Kamara na Donatila Vedasto.
“Agizo hili limetolewa na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene baada ya...
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Mawaziri 4 wasimamishwa kazi Kenya