WAFANYAKAZI 35 WASIMAMISHWA KAZI TRA,KAMPUNI 43 ZABAINIKA KUKWEPA KODI.
Kaimu Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano na Kaimu Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango jijini Dar es Salam leo.
Na ChalilaKibuda,Globu ya Jamii
BAADA ya Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa kufanya ziara ya kushitukiza katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kubaini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNEWS ALERT: WATUMISHI WENGINE WATATU WASIMAMISHWA KAZI TRA
Uamuzi huo umetolewa leo (Jumamosi, Novemba 28, 2015), na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ili kupisha uchunguzi zaidi wa tuhuma zinazowakabili. Kama ilivyo kwa wenzao sita waliosimamishwa kazi jana (akiwemo aliyekuwa Kamishna Mkuu), nao pia hawaruhusiwi kusafiri kwenda nje...
9 years ago
StarTV19 Dec
Wafanyakazi 10 wa TANESCO wasimamishwa kazi kwa Madai Ya Upotevu Wa Fedha
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limewasimaisha kazi wafanyakazi wake 10 baada ya kubainika kuhusika na wizi wa umeme kwenye mfumo wa mita kwenye minara ya simu uliosababisha upotevu wa mapato wa zaidi ya Shingili Milioni 100.
Miongoni mwa wafanyakazi hao ni pamoja na mafundi, wahasibu na wahandisi umeme ambao wanadaiwa kushirikiana na wateja kuhujumu shirika hilo kwa kupokea rushwa na kisha kusambaza umeme unaotumika bila kulipwa.
Desemba 14, mwaka huu Shirika hili lilitangaza kupata...
9 years ago
Mtanzania05 Dec
27 zaidi wasimamishwa TRA
*Watupwa korokoroni, polisi wawachunguza
*Bakhresa na wenzake waanza kulipa kodi
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) wiki hii imewasimamisha kazi watumishi wake 27 wakituhumiwa kuhusika na upotevu na makontena 349 yaliyoisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 80.
Kusimamishwa kwa wafanyakazi hao kunafanya jumla ya waliosimamishwa kwa kashfa hiyo kufikia 35 huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanywa na makachero wa polisi.
Taarifa ya kusimamishwa kwa watumishi...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Messi matatani kwa kukwepa kodi
11 years ago
BBCSwahili14 May
Scolari adaiwa kukwepa kulipa kodi
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
HSBC,imewasaidia wateja kukwepa kodi
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Ridhiwani afunguka umiliki wa mali, kukwepa kodi
5 years ago
MichuziVIWANDA VYATUMIA ENEO LA KANISA KUKWEPA KODI
Hayo yamebainika baada ya Mkuu wa kitengo cha Kodi kutoka Wizara ya Ardhi Bw. Denis Masami kutembelea eneo hilo lenye jumla ya ekari 410 ambalo limemilikishwa kwa matumizi ya makazi na siyo biashara.
Mkuu wa kitengo cha kodi alilazimika kufika katika eneo...