Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A brand new video by Azma-"Kuwa na azma"

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Azma ya kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI, muda wa vitendo ni sasa

Na Mark B. Childress, Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mwaka mmoja uliopita wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, niliandika makala kuhusu jitihada za kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI nchini Tanzania.  Toka wakati huo, kwa pamoja tumepiga hatua muhimu kuelekea katika kufikia azma hiyo, tukielekeza rasilimali na shughuli zetu kwenye maeneo yenye mahitaji zaidi nchini kote. Hata hivyo, bado tunahitajika kuongeza nguvu na kufanya zaidi. Bila ya kuongeza kasi...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Rapper Azma aachia wimbo unaofundisha wanaume kuwafikisha wapenzi wao kil**eni

Rapper Azma Mponda ameamua kujitolea kupitia ngoma yake kuwafunda wanaume wenzake namna ya kuwafikisha wapenzi wao katika kilele cha raha wakati wa tendo maarufu zaidi duniani, ngono. Akiongea na Bongo5, Azma amesema ameamua kuachia wimbo wake huo uitwao ‘Jinsi ya Kumkifikisha Mpenzi Wako Kileleni’, baada ya kuona amekuwa akifanya nyimbo zenye ujumbe wa kijamii kwa […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Je azma ya Nkurunziza inakiuka katiba?

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, amegusia kuwa huenda akawania urais kwa muhula wa tatu licha ya upinzani kulalamika kuwa hatua kama hiyo inakiuka katiba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Azma ya kumaliza ubakaji vitani

Kongamano kuhusu dhuluma ya ubakaji katika mataifa yaliyo katika mizozo ya kivita, imemalizika hii leo jijini London.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Shein afurahishwa na azma ya Uturuki

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed SheinRAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameelezea kufurahishwa na azma ya Serikali ya Uturuki kuteua balozi wa heshima Zanzibar na baadaye kuanzisha ubalozi mdogo kwa lengo la kukuza na kuimarisha uhusiano uliopo.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Azma ya Rais Nkurunziza ni ipi mwakani?

Huku uchaguzi mkuu ukitarajiwa kufanyika Burundi mwakani, je rais Nkurunziza atahudumu zaidi baada ya miaka kumi uongozini?

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tacaids: Maadhimisho ya Ukimwi kuhakikisha azma ya sifuri tatu inafikiwa

TUME ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi. Akizungumza jana jijini...

 

5 years ago

CCM Blog

IRAN IMESIMAMA IMARA DHIDI YA CORONA KWA AZMA THABITI

Mwakilishi wa WHO:  Iran imesimama imara dhidi ya corona  kwa azma thabiti Mkuu wa ujumbe wa Shirika la Afya Duniani uliopo hapa nchini amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inakabiliana kwa dhati dhidi ya maambukizo ya virusi vya corona.Richard Brennan Mkuu wa ujumbe wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini  nchini ambao ulielekea katika mji wa Qum kusini mwa Tehran  kwa ajili ya kuchunguza hali ya maambukizo ya virusi vya corona jana usiku alikutana na kufanya mazungumzo na Bahram Sarmast Gavana wa Qum na kueleza kuwa: Kesi ya kwanza ya maambukizo ya virusi vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani