IRAN IMESIMAMA IMARA DHIDI YA CORONA KWA AZMA THABITI
Mkuu wa ujumbe wa Shirika la Afya Duniani uliopo hapa nchini amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inakabiliana kwa dhati dhidi ya maambukizo ya virusi vya corona.Richard Brennan Mkuu wa ujumbe wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini nchini ambao ulielekea katika mji wa Qum kusini mwa Tehran kwa ajili ya kuchunguza hali ya maambukizo ya virusi vya corona jana usiku alikutana na kufanya mazungumzo na Bahram Sarmast Gavana wa Qum na kueleza kuwa: Kesi ya kwanza ya maambukizo ya virusi vya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YWWBFQp9Rk4/XmK1NNSCJyI/AAAAAAALhpQ/tbDs_VgSsAkIUFbaIzEjVeu8poYbcLj_wCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv725c801b30f1m2ds_800C450.jpg)
Mwakilishi wa WHO aipongeza Iran kwa mapambano yake dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-YWWBFQp9Rk4/XmK1NNSCJyI/AAAAAAALhpQ/tbDs_VgSsAkIUFbaIzEjVeu8poYbcLj_wCLcBGAsYHQ/s640/4bv725c801b30f1m2ds_800C450.jpg)
Dr. Christoph Hamelmann ameashiria ziara na ukaguzi wake akiwa pamoja na wataalamu kutoka China katika hospitali na taasisi za afya nchini Iran na kusema: Wataalamu wa China wameathiriwa sana na huduma zinazotolewa katika hospitali hizo.
Mwakilishi wa WHO amesema kuwa, kuwepo vituo bora na madhubuti vya huduma...
11 years ago
Michuzi03 May
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi Iran inavyokabiliana na corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_WECWna--e4/Xk4UsU5cUmI/AAAAAAALeag/jcPQsMRjQIcCaeJeSMUF_yeFWqRaSF7GACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6a1aaf94a081lq01_800C450.jpg)
Raia wawili wa Iran wafariki dunia mjini Qom kwa maradhi ya virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-_WECWna--e4/Xk4UsU5cUmI/AAAAAAALeag/jcPQsMRjQIcCaeJeSMUF_yeFWqRaSF7GACLcBGAsYHQ/s640/4bv6a1aaf94a081lq01_800C450.jpg)
Kiyanush Jahanpur aliyasema hayo jana Jumatano na kubainisha kwamba kufuatia ongezeko la matatizo ya kupumua lililoshuhudiwa katika siku za hivi karibuuni mjini Qom, uchunguzi wa vipimo ulithibitisha kesi mbili za maambukizi ya virusi vya Corona. Ameongeza kwa kusema: "Kwa bahati mbaya...
5 years ago
BBCSwahili05 May
Vurusi vya corona: Jinsi kampuni ya ndege ya Mahan Air nchini Iran ilivyokaidi marufuku na kusambaza corona mashariki ya kati.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRfWR6A3A0/XspW20SQOKI/AAAAAAACLbg/BbwzfQ8ICO4iEPPkptGX3Ha6IsG25qhHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWAPONGEZA WAISLAM KWA KUMALIZA MFUNGO WA RAMADHANI, AWASHUKURU KWA KULIOMBEA TAIFA DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRfWR6A3A0/XspW20SQOKI/AAAAAAACLbg/BbwzfQ8ICO4iEPPkptGX3Ha6IsG25qhHgCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS Dk. John Magufuli amewapongeza Waislam wote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku akiwashuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa hasa katika kipindi hiki cha kukabilia na ugonjwa wa COVID-19.
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EyH8QpnIreM/XtNs5GRMMbI/AAAAAAABCAg/92juDaWmMqsPatyXfrCd-tb196FS5PAAQCNcBGAsYHQ/s72-c/who.jpg)
WHO: UONGOZI IMARA CHANZO CHA AFRIKA KUPATA MAAMBUKIZI MADOGO YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EyH8QpnIreM/XtNs5GRMMbI/AAAAAAABCAg/92juDaWmMqsPatyXfrCd-tb196FS5PAAQCNcBGAsYHQ/s1600/who.jpg)
Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO.
Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi...
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Vikwazo dhidi ya Iran kuondolewa