Abdul Kiba adai kuvujisha ngoma hakulipi
Abdul Kiba anadai amegundua kuwa mfumo wa kuachia wimbo akiwa amejipanga kuna matokeo mazuri kuliko kuvujisha. Amesema njia aliyotumia kuachia wimbo wake mpya ‘Ayaya’ aliomshirikisha Ruby, imeleta matokeo mazuri tofauti na nyimbo zake zilizopita. “Kuachia nyimbo kwa kuvujisha au kutoa bila utaratibu hakuna manufaa,” amesema. “Nyimbo yangu zilizopita kama ‘Pita Mbele’ ni nyimbo ambazo sikuziachia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Oct
Abdul Kiba adai kuitwa na kikosi cha Simba kufanyiwa majaribio
9 years ago
Bongo520 Oct
Abdul Kiba adai wimbo ‘Ayaya’ alikuwa amshirikishe Vanessa Mdee ila ikashindikana
10 years ago
Bongo516 Feb
Abdul Kiba asema Sauti za Busara ni zaidi ya darasa
9 years ago
Bongo522 Oct
Malumbano kati ya mashabiki wa Alikiba na Diamond yanaathiri muziki wangu — Abdul Kiba
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_ILHlrF7h0M/default.jpg)
Ngoma azipendazo ankal special request by John Kitime, Abdul Salvador & Kawelee Mutimwana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88Ay9FUvKm5M-ghX5pA2A8ZgHU2pFjkxPDwX4zaKSR9rlcA2bi9n-dm4NsaW2RK12j*45ivEsTZPB5qFD-G0Yx3qU/kiba.gif?width=650)
MSANII ADAI KUTOA MIMBA YA ALI KIBA
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Q-Chillah,TID wataka kutwangana kisa,ngoma mpya ya Ali Kiba
Mastaa wa Bongo Fleva,Q-Chillah na TID mwishoni mwa wiki hii walitaka kutwangana walipokutana katika Klabu moja usiku.
Kwa mujibu wa Q-Chillah akizungumza kwenye Uheard na Soudy Brown alisema kuwa alikwenda kwenye klabu hiyo kuangalia shoo iliyokuwa ikifanyika kwenye lakini baadaye aliamua kutoka nje kucheza ‘pool table’ ndipo alipomuona TID.
9 years ago
Bongo518 Sep
Q Chief adai ngoma yake mpya ‘Chawa’ itasababisha mtafutano!