Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abdul Kiba adai kuvujisha ngoma hakulipi

Abdul Kiba anadai amegundua kuwa mfumo wa kuachia wimbo akiwa amejipanga kuna matokeo mazuri kuliko kuvujisha. Amesema njia aliyotumia kuachia wimbo wake mpya ‘Ayaya’ aliomshirikisha Ruby, imeleta matokeo mazuri tofauti na nyimbo zake zilizopita. “Kuachia nyimbo kwa kuvujisha au kutoa bila utaratibu hakuna manufaa,” amesema. “Nyimbo yangu zilizopita kama ‘Pita Mbele’ ni nyimbo ambazo sikuziachia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Abdul Kiba adai kuitwa na kikosi cha Simba kufanyiwa majaribio

Abdul Kiba amedai ameitwa na klabu ya Simba ili kufanya majaribio ya kuichezea timu hiyo. Akizungumza na Bongo5 jana, Abdul Kiba alisema ikitokea atapewa nafasi ya kuichezea timu hiyo atacheza. “Yeah bana nimeitwa na Simba, mimi ni mchezaji sio kocha, kwahiyo ukisikia nimeitwa ujue ni kuhusu kucheza. Bado sijakaa nao chini na kuzungumza ila nikifanikiwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Abdul Kiba adai wimbo ‘Ayaya’ alikuwa amshirikishe Vanessa Mdee ila ikashindikana

Abdul Kiba amesema kabla ya kufikiria kufanya wimbo wake wa ‘Ayaya’ na Ruby alipanga kumshirikisha Vanessa Mdee. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV kuwa, Vanessa alimuacha njia panda kwa muda mrefu bila kumjibu ndio maan akaamua kufanya na Ruby. “Kwanza nili-plan kufanya wimbo na Vanessa, nilimtumia ule wimbo wakati umetimia wote […]

 

10 years ago

Bongo5

Abdul Kiba asema Sauti za Busara ni zaidi ya darasa

Alikiba na Abdu Kiba ni miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye tamasha la mwaka huu la Sauti za Busara linalofanyikia visiwani Zanzibar. Akizungumza na Bongo5, Abdul Kiba amesema ushiriki wao umewafanya kutambua asili ya muziki wa mataifa mbalimbali ya Afrika. “Nimefanya muziki wa band kwenye show nyingi sana lakini Sauti za Busara ni show ya kipekee, […]

 

9 years ago

Bongo5

Malumbano kati ya mashabiki wa Alikiba na Diamond yanaathiri muziki wangu — Abdul Kiba

Mdogo wake na Alikiba, Abdul Kiba amesema muziki wake unaathiriwa na malumbano yasiyoisha kati ya mashabiki wa Kiba na Diamond. Abdul Kiba aliyewahi kutamba na wimbo Kidela aliomshirikisha kaka yake huyo, amekiambia kipindi cha Siz Kitaa kinachorushwa na Clouds TV kuwa mashabiki wa wasanii hao wamekuwa wakimshambulia yeye bila sababu yoyote. “Zimeathiri kwa sababu muziki […]

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

MSANII ADAI KUTOA MIMBA YA ALI KIBA

Andrew Carlos
DUNIA IMEKWISHA! Msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amedai licha ya kutembea na wasanii wengi, aliwahi kupata ujauzito wa mkali wa Bongo Fleva, Ali Kiba lakini kwa bahati mbaya, ikatoka, Risasi Mchanganyiko lina ‘full details’. Akifunguka bila wasiwasi mbele ya kamera na masikio ya waandishi, msanii huyo anayetambulika mtaani na filamu za Gundu na Judgement Day, aliwataja wasanii...

 

10 years ago

CloudsFM

Q-Chillah,TID wataka kutwangana kisa,ngoma mpya ya Ali Kiba

Mastaa wa Bongo Fleva,Q-Chillah na TID mwishoni mwa wiki hii walitaka kutwangana walipokutana katika Klabu moja usiku.Kwa mujibu wa Q-Chillah akizungumza kwenye Uheard na Soudy Brown alisema kuwa alikwenda kwenye klabu hiyo kuangalia shoo iliyokuwa ikifanyika kwenye lakini baadaye aliamua kutoka nje kucheza ‘pool table’ ndipo alipomuona TID.

‘’Nilimuona jamaa(TID) akiniangalia na baadaye alinifuata akaniambia kuwa anataka kuongea na mimi nikamwambia ile siye sehemu yake atafute muda mwingine...

 

9 years ago

Bongo5

Q Chief adai ngoma yake mpya ‘Chawa’ itasababisha mtafutano!

Q Chief amedai kuwa amekuwa akipewa tahadhari kuhusu kutoa wimbo wake mpya uitwao’Chawa’ ambao wengi wanahisi utamletea matatizo. Q amedai kuwa wimbo ni kwaajili ya kuondoa ‘chawa’ wa mjini. “Kuna ngoma mpya inaitwa Chawa,” muimbaji huyo alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Unajua mjini kuna Chawa wengi kuna jinsi ya kuwapunguza. Chawa ni kama […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani