Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abdul Kiba adai wimbo ‘Ayaya’ alikuwa amshirikishe Vanessa Mdee ila ikashindikana

Abdul Kiba amesema kabla ya kufikiria kufanya wimbo wake wa ‘Ayaya’ na Ruby alipanga kumshirikisha Vanessa Mdee. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV kuwa, Vanessa alimuacha njia panda kwa muda mrefu bila kumjibu ndio maan akaamua kufanya na Ruby. “Kwanza nili-plan kufanya wimbo na Vanessa, nilimtumia ule wimbo wakati umetimia wote […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Abdul Kiba adai kuvujisha ngoma hakulipi

Abdul Kiba anadai amegundua kuwa mfumo wa kuachia wimbo akiwa amejipanga kuna matokeo mazuri kuliko kuvujisha. Amesema njia aliyotumia kuachia wimbo wake mpya ‘Ayaya’ aliomshirikisha Ruby, imeleta matokeo mazuri tofauti na nyimbo zake zilizopita. “Kuachia nyimbo kwa kuvujisha au kutoa bila utaratibu hakuna manufaa,” amesema. “Nyimbo yangu zilizopita kama ‘Pita Mbele’ ni nyimbo ambazo sikuziachia […]

 

9 years ago

Bongo5

Abdul Kiba adai kuitwa na kikosi cha Simba kufanyiwa majaribio

Abdul Kiba amedai ameitwa na klabu ya Simba ili kufanya majaribio ya kuichezea timu hiyo. Akizungumza na Bongo5 jana, Abdul Kiba alisema ikitokea atapewa nafasi ya kuichezea timu hiyo atacheza. “Yeah bana nimeitwa na Simba, mimi ni mchezaji sio kocha, kwahiyo ukisikia nimeitwa ujue ni kuhusu kucheza. Bado sijakaa nao chini na kuzungumza ila nikifanikiwa […]

 

9 years ago

Mtanzania

Ne-Yo awanyanyua Ali Kiba, Vanessa Mdee, Ben Pol, Fid Q

Neyo na Ali kibaNA MWANDISHI WETU

MWIMBAJI maarufu duniani wa miondoko ya R&B kutoka Marekani, Ne-Yo, ameacha gumzo kwa wapenzi wa muziki wanaofuatilia onyesho la Coke Studio kutokana na umahiri aliouonyesha katika kolabo alizofanya na wasanii kutoka barani Afrika.

Katika msimu huu, amefanya kolabo na wanamuziki Wangechi (Kenya), Ali Kiba (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Msumbiji) na  Ice Prince (Nigeria).

Kolabo alizofanya na wasanii hao zimeleta burudani ya pekee kwa wapenzi wa muziki wa...

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee: Wimbo wangu ujao ni wa rap

Vanessa Mdee amesema hachagui muziki wa kufanya na kwamba kama mambo yakienda alivyopanga, wimbo wake ujao utakuwa wa hip hop (hatuna uhakika kama alizungumza kwa utani ama ni kweli atafanya hivyo). Akiongea kwenye kipindi cha Power Jams cha East Africa Radio, Jumanne hii wakati akitambulisha wimbo wake mpya ‘Siri’ alioshirikiana na Barnaba, Vanessa alidai kuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutoka Jumatatu ijayo

Vanessa Mdee ataachia wimbo wake mpya ‘Never Ever’ Jumatatu ijayo. Kava la single mpya ya Vanessa Mdee ‘Never Ever.’ Picha ilipigwa na Osse Greca Sinare Wimbo huo umetayarishwa na prodecer wake, Nahreel wa The Industry. Wimbo uliopita, Nobody But Me aliomshirikisha rapper wa Afrika Kusini, K.O nao ulitayarishwa na mtayarishaji huyo ambaye pia msanii wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee arekodi wimbo mpya Nigeria na Runtown

Vee na Run

Mshindi wa tuzo ya AFRIMA 2015 ‘Best African Pop’ , Vanessa Mdee a.k.a Vee Money bado yuko nchini Nigeria akifanya Interviews pamoja na kurekodi nyimbo mpya.

Vee na Run

Vanessa ambaye hivi sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Never Ever’, jana amerekodi wimbo mpya kwa producer E Kelly Beatz wa Naija. “Cooking with my bro @ekellybeatz #Lagos” Vanessa aliandika kwenye picha aliyopost Instagram.

Kwenye wimbo huo Vee amesema amemshirikisha Runtown ambaye wiki chache zilizopita alikuja Tanzania...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: GK aingia studio na Vanessa Mdee kuandaa wimbo mpya

Msanii wa East Coast Team, King Crazy GK aka ‘Music Messayah’ ameingia ndani ya studio za Mackochalo na kuandaa wimbo mpya aliwa amemshirikisha mwadada Vanessa Mdee. AY, Vanessa, Macko pamoja na GK wakiwa studio Kazi hiyo mpya inayoandaliwa na mtayarisha jimkongwe John Maundi akishirikana Mackochali inasimamiwa na AY, huku kazi hiyo ikiwaida itatoka mapema zaidi […]

 

9 years ago

Mtanzania

Ben Pol, Kiba, Vanessa Mdee, Fid Q kuwasha moto Coke Studio Africa

Ben-Pol_fullvanessa-620x400alikiba1fid-qNA MWANDISHI WETU

WASANII nguli wa muziki nchini, Ben Pol, Ali Kiba, Fid Q na Vanessa Mdee, wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya  burudani ya muziki, maarufu kama Coke Studio Africa litakaloanza mapema wiki ijayo.

Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani ‘Kolabo’.

Kolabo ya wasanii 55 itashirikisha wasanii wawili kutoka nchi mbili tofauti kuimba nyimbo mbili za mitindo...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutambulishwa Trace Urban (Oct. 9 )

Wakati tunasubiri single yake mpya (audio) kuachiwa rasmi Jumatatu Ijayo, surprise nyingine kutoka kwa Vanessa Mdee ni kuwa video ya wimbo huo ‘Never Ever’ itatambulishwa exclusive na kituo cha runinga cha Ufaransa – Trace Urban kesho Oct.9. Vanessa ambaye tayari yuko Dallas, Marekani alikoenda kuhudhuria tuzo za Afrimma ameshare taarifa hiyo kupitia mitandao ya kijamii. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani