ABIRIA WANUSURIKA KUFA BAADA YA MABASI KUGONGANA IRINGA
![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXsTNqe3Y9MfDyg2NoYCiNOQQzZo3Tdh4j6NAgbg9XrHLW17x57CqnIzx6kakvvbsu-rY9-c-FGaGLHoPOkB85Q/IMG20141023WA0002.jpg?width=650)
Muonekano wa basi la Florida baada ya ajali hiyo kutokea. Basi la Kimotco likiwa pembezoni mwa barabara baada ya ajali hiyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/78albYJ5oUk/default.jpg)
9 years ago
Bongo516 Dec
Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto
![20151216043112](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216043112-300x194.jpg)
Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa
Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.
Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.
Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal
10 years ago
Vijimambo11 Mar
BASI LAUA ZAIDI YA ABIRIA 40 BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA IRINGA
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPN4MTkzhZdj2BMrcDES1HIF0YNw7aY-wcMX89rwE0Fhjepd-Y38ePQKv7UEsAEFJCLYrCaALYfgkAnLw5UuEcP/IMG20150311WA0021.jpg)
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPdNyoxKIGsqVYw7Tb1JwcrtYFanGQgYMhaeukec9x6Z0nQw8JfVCyhxle2Egy3gUpWa3VCHWprFD4CxARiZhIy/IMG20150311WA0019.jpg)
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPL-LJm9MwPWS-4FH0*P6EZJX8*kHXfp0x9z9aM90uvpkTgqCeqVXj*aUg66ySSlt-qTRH5wf5JztkOoSJPly0h/IMG20150311WA0014.jpg)
Inadaiwa kuwa basi hilo lilikuwa limebeba abiria 65 na abiria nane tu ndiyo walionusurika katika ajali hiyo...
10 years ago
Vijimambo05 Dec
60 wanusurika kufa mtoni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Paul-Mzindakaya-December5-2014.jpg)
Zaidi ya abiria 60 waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Mwanza Coach, kwenda Musoma mjini wamenusurika kufa baada ya tairi la mbele kupasuka na kutumbukia mtoni.
Tukio hilo limetokea juzi na kulihusisha basi lenye namba za usajili T714 BJB ambalo baada ya tairi kupasula liliacha kuacha njia.
Mkuu wa wilaya ya Busega, Paul Mzindakaya, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba watu tisa walipata michubuko kidogo baada ya basi hilo kutumbukia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WATU 200 WANUSURIKA KUFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qswicb7Cz1c*m*NajBy1hCrIgOSrIrGPo6Yf3xpUH4he8EN*1lzmRgxJzNXemLPrTzDqspYAehOAzmKKBnV*2jT/IMG20150221WA0011.jpg)
WANUSURIKA KUFA KWA AJALI MKURANGA
10 years ago
Habarileo11 Sep
Wanafunzi wa kike wanusurika kufa kwa moto
ZAIDI ya wanafunzi 96 wa kike wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari African Muslim iliyopo mjini Moshi, wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wakilala, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana mjini hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0YNlownVfzPeHDaJcFSf37FxOancqEvzO8RJH6RdBdWz6bBzAZ9yNQ5cSCT42-sB08GMku259ZQ8eiRkYhIYPx/DSC012371.jpg)