ACT: Usafi unapaswa kuzalisha ajira
CHAMA cha ACT–Wazalendo kimesema mfumo wa kusimamia sera na sheria katika suala la usimamizi wa usafi na utunzaji wa mazingira unapaswa kuzalisha ajira, kuendana na kiwango cha ukuaji na ongezeko la watu katika miji nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Uchumi washindwa kuzalisha ajira
LICHA ya uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7.1 na kufanya vizuri katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, bado umeshindwa kutengeneza ajira zenye tija kwa haraka. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi ...
9 years ago
Mwananchi18 Oct
ACT waahidi kuzalisha umeme wa upepo
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Lowassa: Nitaifanya JKT kuzalisha ajira kwa vijana
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.
Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...
9 years ago
Mwananchi28 Dec
ACT yashauri taka zizalishe ajira nchini
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ojWZasMiP1M/VgmlBfCmvaI/AAAAAAAH7pc/qdw9XIxVX4k/s72-c/ss.png)
Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni Nchini Na.1 ya Mwaka 2015 (The Non - Citizens (Employment Regulation) Act).
![](http://1.bp.blogspot.com/-ojWZasMiP1M/VgmlBfCmvaI/AAAAAAAH7pc/qdw9XIxVX4k/s640/ss.png)
2. Sheria hii inaanzisha Mamlaka moja ya utoaji wa vibali vya ajira kwa wageni na Mamlaka hiyo ni Kamishna wa Kazi. ...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Moyo wa Mbowe unapaswa upongezwe na kuigwa
UCHAGUZI unaoendelea ndani ya CHADEMA ni mfano wa kuigwa katika medani ya kisiasa. Ni wa kuigwa katika mambo kadhaa kama nitakavyoeleza hapa chini. Kituko ni kwamba wakati uchaguzi huo ndani...
11 years ago
Mwananchi01 May
Usafirishaji wa bidhaa nje unapaswa kutazamwa upya
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Unajua unapaswa kulala saa ngapi kwa siku?