Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT: Usafi unapaswa kuzalisha ajira

CHAMA cha ACT–Wazalendo kimesema mfumo wa kusimamia sera na sheria katika suala la usimamizi wa usafi na utunzaji wa mazingira unapaswa kuzalisha ajira, kuendana na kiwango cha ukuaji na ongezeko la watu katika miji nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Uchumi washindwa kuzalisha ajira

LICHA ya uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7.1 na kufanya vizuri katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, bado umeshindwa kutengeneza ajira zenye tija kwa haraka. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi ...

 

9 years ago

Mwananchi

ACT waahidi kuzalisha umeme wa upepo

Mgombea urais wa ACT- Wazalendo Anna Mghwira, ameahidi kuutumia upepo wa Mkoa wa Singida kuzalisha umeme wa uhakika.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nitaifanya JKT kuzalisha ajira kwa vijana

Mgombea Urais wa Chadema kwa tiketi ya Ukawa, Edward Lowassa amesema akiiangia madarakani atashughulikia suala la ukosefu wa ajira hasa kwa vijana kwa kuhakikisha vijana wanajiunga na kwenye mafunzzo ya Jeshi la Kujenga Taifa na kupatiwa mafunzo ya ufundi stadi.

 

10 years ago

Dewji Blog

URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla

5edcc9e9

Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.

Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...

 

9 years ago

Mwananchi

ACT yashauri taka zizalishe ajira nchini

Chama cha ACT Wazalendo kimeishauri Serikali kuhakikisha suala la usafi wa mazingira nchini linakuwa endelevu na kutafuta njia mbadala ya kuzalisha ajira na kukuza uchumi wa nchi.

 

9 years ago

Michuzi

Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni Nchini Na.1 ya Mwaka 2015 (The Non - Citizens (Employment Regulation) Act).

  1.         Mwezi Machi, 2015, Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Lilipitisha  Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni Nchini Na.1 ya Mwaka 2015 (The Non - Citizens (Employment Regulation) Act). Sheria hii ilisainiwa na Mheshimiwa Rais mwezi Mei, 2015 na imetangazwa kuanza kutumika rasmi tangu tarehe 15/09/2015 kupitia Gazeti la Serikali Na. 406 la mwaka 2015.


2.          Sheria hii inaanzisha Mamlaka moja ya utoaji wa vibali vya ajira kwa wageni

 na Mamlaka hiyo ni Kamishna wa Kazi. ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Moyo wa Mbowe unapaswa upongezwe na kuigwa

UCHAGUZI unaoendelea ndani ya CHADEMA ni mfano wa kuigwa katika medani ya kisiasa. Ni wa kuigwa katika mambo kadhaa kama nitakavyoeleza hapa chini. Kituko ni kwamba wakati uchaguzi huo ndani...

 

11 years ago

Mwananchi

Usafirishaji wa bidhaa nje unapaswa kutazamwa upya

Taasisi ya Kimataifa ya uangalizi wa masuala ya kiuchumi (BMI) imeonyesha hofu iwapo Tanzania inaweza kusimamia uchumi wake kukua kwa asilimia 7.3 mwaka huu, hasa kutokana na kushuka kwa uuzaji wa bidhaa nje ya nchi na kuongezeka kwa ununuaji wa bidhaa kutoka nje yakiwamo magari.

 

10 years ago

Mwananchi

Unajua unapaswa kulala saa ngapi kwa siku?

Shirika la Afya Duniani (WHO) linaielezea afya ya binadamu kuwa ni hali ya kustawi kimwili, kiakili na kijamii na siyo kukosa maradhi pekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani