Adam Peaty atwaa medali ya dhahabu
Mwingereza Adam Peaty ametwaa medali ya dhahabu baada ya kuibuka bingwa katika michuano ya dunia ya mchezo wa kuogelea
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Peaty atwaa medali ya pili ya dhahabu
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
James Guy abeba medali ya dhahabu
10 years ago
MichuziMTANZANIA ASHINDA MEDALI MBILI ZA DHAHABU SWAZILAND.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-lETRRsznAN8/Vdm0pzeyFjI/AAAAAAABFuQ/W8DZ-W3Bs1k/s72-c/Br.jpg)
MUINGEREZA MO FARAH AWASHINDA WAKENYA NA KUTWAA MEDALI YA DHAHABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-lETRRsznAN8/Vdm0pzeyFjI/AAAAAAABFuQ/W8DZ-W3Bs1k/s640/Br.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XUU11ufxouo/Vdm0p7O76sI/AAAAAAABFuY/dvFLgjPUa1c/s640/Br1.jpg)
Hata hivyo katika mbio za mwaka huu, Farah...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Ronaldo atwaa kiatu cha dhahabu
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora duniani ya Monde Selection
Na Mwandishi wetu
BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa.
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HBmK1G7G_q0/VBAniDmHwTI/AAAAAAACqds/B4ZwnUa7zJ4/s72-c/DSC_0855.jpg)
BIA YA KIBO GOLD LAGER YA SERENGETI BREWERIES LTD YASHINDA TUZO YA MEDALI YA DHAHABU YA UBORA DUNIANI YA MONDE SELECTION.
![](http://4.bp.blogspot.com/-HBmK1G7G_q0/VBAniDmHwTI/AAAAAAACqds/B4ZwnUa7zJ4/s1600/DSC_0855.jpg)
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji. Bidhaa hizo...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Mabondia 3 wapata medali
MA B O N D I A wa Tanzania wamejihakikishia medali katika mashindano ya majiji ya Afrika Mashariki yaliyotarajia kumalizika jana Mombasa nchini Kenya baada ya watatu kati ya wanne kutinga fainali.
10 years ago
Habarileo31 Jul
Olimpiki Maalumu wapata medali
WANARIADHA watatu wa mbio za mita 400 wa timu ya Olimpiki Maalum inayoshiriki mashindano ya dunia yanayofanyika Marekani wamepata medali.