Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldo atwaa kiatu cha dhahabu

Cristiano Ronaldo ametunukiwa kiatu cha Dhahabu ya kwa Ufungaji Bora huko Ulaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NEYMAR ATAKAVYOBEBA KIATU CHA DHAHABU

Staa wa Brazil, Neymar. Makala
RIO DE JANEIRO, Brazil
KIULIZA washambuliaji ambao wapo ‘on fire’ kwenye michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Brazil, haraka jina la Neymar litatajwa na wengi, staa huyo wa Brazil ameshafunga mabao manne mpaka sasa katika michuano hiyo. Kasi yake inamaanisha kuwa anaweza kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo na kubeba kiatu cha dhahabu ambacho kinawaniwa na mastraika wengine...

 

9 years ago

Mwananchi

Kiatu cha dhahabu chanukia kwa Samatta

Ligi ya Mabingwa Afrika imefika patamu. Klabu ya USM Alger ya Algeria  itakutana na TP Mazembe ya DR Congo katika mechi ya fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayochezwa kwenye Uwanja wa Du 5 Juillet mjini Algiers, Algeria kati ya Oktoba 30 na Novemba 1, 2015 na mechi ya marudiano itachezwa kwenye Uwanja wa Frederic Kibassa Maliba mjini Lubumbashi, DR Congo kati ya Novemba 6 na 8, 2015.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaja aota kutwaa kiatu cha dhahabu Ligi Kuu

Mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santana ‘Jaja’ amebainisha kuwa amepata nguvu mpya kuichezea Yanga na sasa anapiga hesabu ya kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu huu na kutwaa kiatu cha dhahabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Peaty atwaa medali ya pili ya dhahabu

Muingereza Adam Peaty ametwaa medali ya pili ya dhahabu katika michezo ya kuogelea ya dunia

 

10 years ago

BBCSwahili

Adam Peaty atwaa medali ya dhahabu

Mwingereza Adam Peaty ametwaa medali ya dhahabu baada ya kuibuka bingwa katika michuano ya dunia ya mchezo wa kuogelea

 

10 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.

Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo atwaa tuzo ya FIFA Duniani 2015

Mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo ameibuka mshindi katika tuzo ya FIFA kama mwanasoka bora duniani mwaka 2015.

 

11 years ago

GPL

CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA FIFA BALLON D'OR 2013

Christiano Ronaldo. MCHEZAJI wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno, Christiano Ronaldo ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia 2013 (Ballon d'O 2013) usiku huu jijini Zurich, Switzerland na kuwabwaga wenzake Lionel Messi na Frank…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani