Ronaldo atwaa kiatu cha dhahabu
Cristiano Ronaldo ametunukiwa kiatu cha Dhahabu ya kwa Ufungaji Bora huko Ulaya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6rauvUctfaDPtJXsEIz-JKfTJGUF78SXtzMyvxb4odfm1-1q4R3K2Ba4l8rQM1fNsB2D3mU4nFNR2Knyb7sNIQd/article01F1005A400000578701_634x495.jpg?width=650)
NEYMAR ATAKAVYOBEBA KIATU CHA DHAHABU
Staa wa Brazil, Neymar. Makala
RIO DE JANEIRO, Brazil
KIULIZA washambuliaji ambao wapo ‘on fire’ kwenye michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Brazil, haraka jina la Neymar litatajwa na wengi, staa huyo wa Brazil ameshafunga mabao manne mpaka sasa katika michuano hiyo. Kasi yake inamaanisha kuwa anaweza kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo na kubeba kiatu cha dhahabu ambacho kinawaniwa na mastraika wengine...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Kiatu cha dhahabu chanukia kwa Samatta
Ligi ya Mabingwa Afrika imefika patamu. Klabu ya USM Alger ya Algeria itakutana na TP Mazembe ya DR Congo katika mechi ya fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayochezwa kwenye Uwanja wa Du 5 Juillet mjini Algiers, Algeria kati ya Oktoba 30 na Novemba 1, 2015 na mechi ya marudiano itachezwa kwenye Uwanja wa Frederic Kibassa Maliba mjini Lubumbashi, DR Congo kati ya Novemba 6 na 8, 2015.
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Jaja aota kutwaa kiatu cha dhahabu Ligi Kuu
Mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santana ‘Jaja’ amebainisha kuwa amepata nguvu mpya kuichezea Yanga na sasa anapiga hesabu ya kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu huu na kutwaa kiatu cha dhahabu.
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Peaty atwaa medali ya pili ya dhahabu
Muingereza Adam Peaty ametwaa medali ya pili ya dhahabu katika michezo ya kuogelea ya dunia
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Adam Peaty atwaa medali ya dhahabu
Mwingereza Adam Peaty ametwaa medali ya dhahabu baada ya kuibuka bingwa katika michuano ya dunia ya mchezo wa kuogelea
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.
Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Ronaldo atwaa tuzo ya FIFA Duniani 2015
Mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo ameibuka mshindi katika tuzo ya FIFA kama mwanasoka bora duniani mwaka 2015.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA FIFA BALLON D'OR 2013
Christiano Ronaldo. MCHEZAJI wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno, Christiano Ronaldo ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia 2013 (Ballon d'O 2013) usiku huu jijini Zurich, Switzerland na kuwabwaga wenzake Lionel Messi na Frank…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania